Ndugu
Mimi pia nimesoma bachelor ya kozi hiyo hiyo, mpaka leo sijapata kazi.
Mshauri aanze na kazi yeyote kutafuta, hasa related kama marketing, ass acountant, sales, stores mgt, supplies, halafu hata ajitolee , mimi hapa najitolea mahala fulani japo mwanzo sikua napata kitu, lakini sasa...