:) Kama yupo SUA anaweza pangiwa batch za lala salama.......asee mie boom la mwaka wa kwanza ndiyo nimeingiziwa zote mwaka wa pili:mad:
Kama yupo course ya priority hapa SUA mkopo lazima hapate lakini anaweza pangiwa batch za lala salama:)
Andaa laki saba na nusu au zaidi kama unataka kusajiliwa semester ya kwanza bila pesa za heslb hapo inajumlisha pamoja na medical fee na michango mingine, lakini kama heslb wakikupa 100% basi utalipia med. fee na michango mingine tu. Over!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.