Wakuu msaada wenu tafadhari, kuna zile Ceiling boards za Tanzania, ninaomba kwa anayefahamu kiwanda chake kipo wapi na kinaitwaje? Ninatanguliza shukran zangu za dhati kwenu nyote
Unamaanisha kila mjane anamaradhi sio?
Acha kukaza akili mkuu usidhani hilo hatilijui, kupima afya nimuhimu tena watu hao huwaga wapo serious sana huwezi kuwakurupukia kimasihara kama hawa dada zetu.. wanahitaji protocols maana wanajijua wao niwatu wazima hivyo wanahitaji mtu mwenyekujielewa...
Huyo hafai... harafu baharia kamili hachukui mke wa mtu bilashaka umejifunza kitu so next time chukuwa aliye single maana hao ndio wazuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamepewa midomo yakusema lakini wewe ndiye muamuzi wa hisia zako... wanaokusema pengine wanawaume zao ama wanawatu wao wanawakidhi haja zao sasa wanakuwa hawamuangalii huyu aliye mpweke... tupijitafutie furaha zetu wenyewe tusisubilie kupewa kutoka kwawatu wengine
Sent using Jamii Forums...
Hao wagane sasa ndio hawataki wazee wenzao, wanataka mabinti wadogo ndiomaana hao wamama wanajikuta wanakuwa wapweke at the end wanatengeneza mazingira mazuri yakutoka na kijana mdogo ili wakidhi haja zao kama binadamu wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hili kundi wapo MARIOO na ambao sio MARIOO... binafsi sifuati kulelewa Bali nafuata starehe japokuwa hawa wamama niwepesi sana kuhudumia so ukijifanya zoba utapokea sana vitu vyao but if you are a real gentleman huwezi kukubali kuhudumiwa unless otherwise uwe na shida kama shida zingine...
Kwamba wanadhalilishwaje mkuu??
Tukiongelea Wababa wanaotoka na mabinti wadogo hao tuwaweke kundi gani? Haya mambo yapo hatakama hutaki yaongelewe.. kuhusu mama yangu mkikutana wenyewe mkakubaliana fresh tu ila ndoivo bado mume wake yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.