Recent content by Mr Beltashezah

  1. Mr Beltashezah

    Nipo hapa kuomba fursa ya ajira au connection ya Kazi hasa kuhusu kitengo cha mazingira, Afya na usalama mahara pa kazi

    Habari
  2. Mr Beltashezah

    Fahamu jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo (Mfano: Milioni 1)

    😂😂😂 eeh etii jogooo afii kwa utitirii” una kituuu mkuuu , Tupeane mdaa tudiscus zaid
  3. Mr Beltashezah

    Fahamu jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo (Mfano: Milioni 1)

    Wa maanisha chakula kama nafaka au chakula kama akina mama ntiliee??
  4. Mr Beltashezah

    Ni dalili zipi zaoneshwa kwa mwanaume kuwa tegemezi kwa familia?

    Ikiwa upo mbali na nduguzo, umekua mtu wa bize sana na kazi kiasi kwamba upati mda wa kuwatembelea kujua shida zao na changamoto. Ni vipi waweza tambua kuwa una umuhimu kwao kwa kuwasaidia changamoto zao?
  5. Mr Beltashezah

    Fahamu jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo (Mfano: Milioni 1)

    Habari wakuu, ivi ni mambo gani muhimu waweza anza nayo kimaisha ili kujikwamua katika hu jobless endapo ukiwa na mtaji wa 1M ndani mwako huku ikiwa kazi ufanyazo sio za kuelewa. Mchango wenu wa mawazo apo waitajika kwa jobless hapa🙏
Back
Top Bottom