Recent content by Mr.Bee

  1. M

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Nadhani waasisi wa Muungano walikua na ajenda zao ... Ila kiundani huwezi kuwa na Muungano wa dola mbili , kimsingi katiba ya Zanziba inatakiwa kubadilishwa ili Zanzibar isitambulike kama ni nchi pia Tanganyika isitambulike kuwa ni nchi , halafu iwepo serikali ya Muungano , kwa maana nyingine ni...
  2. M

    Kwa mwendo huu wanaume tujipe pole tuu

    Hapo siwezi kukuunga Mkono... Mwanaume lazima utoe , wewe anapenda vya bure ... Akina dada lazima wachukue kwetu ... Hii inatia aibu sana... Mpaka mwishoni unamdanganya ili aendelee kukupa bure... Aisee unatutia aibu sisi wanaume wa shoka
  3. M

    Linganisha Picha Hizi: JK Nyerere vs. JM Kikwete

    Nakubaliana na yote , ila tuangalie na wakati/Nyakati , kipindi cha jk Nyerere mambo mengi yalikua yakifanyika kwa mikono (Labour Intensive) kwa sasa mambo mengi hufanyika kwa mashine .. (Industrial revulution) , kikubwa hapa ni kulinganisha sera na uchu wa madaraka ambayo ni mambo ya kumpima...
Back
Top Bottom