Recent content by MR AMIGO

  1. M

    GE2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    Kiukweli, mzee anazeeka vibaya namba inabaki pale juu ikichanwa namba inabaki pale huendi nayo kule chobingo. Mzee nae anataka atajwe tajwe tu kama jani kibichi
  2. M

    GE2020 Dkt. Magufuli akishinda, Afrika imeshinda

    Wachumia tumbo,lazima wapigwe
  3. M

    GE2020 Dkt. Magufuli akishinda, Afrika imeshinda

    Ccm wasenge tu wote
  4. M

    GE2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

    Duh,nadhani sasa safari ya watanzania ni ngumu bado.ila c kwamba hayana mwisho.
  5. M

    GE2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

    Labda ofisi ya chato,tatizo jiwe nae atakuwa hana meno tens duh
  6. M

    Kuna watetezi wa CCM lakini "Mafao ya viongozi wastaafu yashtua"! Tujaribu kwa upande mwingine! Sio dhambi

    Kwanza siasa weka kando japo sina uhakika kama u mwanasiasa. Demokrasia imeminywa sana,hakuna nchi iliyoweza kupata maendeleo pasipokuwa na demokrasia ndugu.sio kwamba raid hatumpendi ra hasha bali kuna mambo anafanya si kama taasisi bali MTU binafsi.sasa hiyo haina ustawi.kumbuka tz INA wakazi...
  7. M

    Kuna watetezi wa CCM lakini "Mafao ya viongozi wastaafu yashtua"! Tujaribu kwa upande mwingine! Sio dhambi

    Sipigi kampeni wala nini,ila nakataa uongo na unafiki.kwenye ukweli hawasemi. Au kwa vile nimeitaja ccm!,kiufupi ndugu,ccm haiwezi kukwepa rawama kwa watanzania waliowengi kwa hatua hii.maana tangu Uhuru mpaka leo.watajipambanua VP!.
  8. M

    Ndoa na Mirathi inawaumiza Wanawake

    Hivi mahali huwa inawakilisha nini katika ndoa.kama mnahitaji haki sawa basi ifikie hatua sasa binti kwanza atafute maisha akishaona angalau anaweza kuwa na mwenza aanze kumtafuta sio asubirie atafutwe yeye. Ikiwezekana hivyo,basi kila kitu kitawezekana.ila kiuharisia tunaongozwa na mfumo,huwezi...
  9. M

    Kuna watetezi wa CCM lakini "Mafao ya viongozi wastaafu yashtua"! Tujaribu kwa upande mwingine! Sio dhambi

    Jana Pascal mayala alileta post ya kumwombea lisu uteuzi wa ubunge.hivi kwa akili ya kisomi isiyokuwa na msukumo wa kujipendekeza,mayalla anauwezo wa kujilinganisha na Lisu!.jamaa nilikuwa namheshimu sana lakini alipofikia inadhihirisha kazi anayoifanya haimlipi. Ccm hakuna Uwezo wa kuisogeza...
  10. M

    Mkurugenzi wa Uyui chukueni hatua kwa Mwalimu huyu anayewalazimisha watoto wa kike kufanya nae ngono uzembe!!!

    Mimi na mabinti damudamu,in mwanaFA voice. Mabinti Siku hizi ni kuwa nao makini.pia na wewe hatujui nia yako kama no ya heli kwa mwalimu au ya Shari. Umeshindwa kuripoti swala hilo dawati LA jinsia!.emu kuwa siliasi basi. Chapeni Nazi majungu no.
  11. M

    GE2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

    Kutoka mwandishi nguli,mpaka mwandishi kunguni.unazeeka vibaya kaka.we ni kada wa chama huna tena Uwezo was unalizi siasa kwa mzani. Ukweli huna jipya kwa sasa.mfumo umekufumua.magu amewachezesha sphere waandishi. Namshukuru mchina kwa kuleta simu kubwa. Mwaka wa 5 sina mda in gazeti wala...
  12. M

    GE2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

    Ccm huwa inachaguliwa na NEC Policcm,mitungi .ila mwaka huu wameula wa chuya,chupi zao zinawatela TL kila neno litokaro mdomoni make.
  13. M

    GE2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

    Khahahaha,kama umeoa basis mkeo anakuona bwege.akili za bashiru anayetapatapa baharilin
Back
Top Bottom