nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Uko na akili nyingi sana ndugu yangu. Eti mtu anamlingalisha Rais mstaafu na mwalimu au muuguzi ! Rais ni cheo cha juu kabisa katika nchi. Mimi naona hayo mafao hayatoshi kabisa.
Mbona mambo ya kawaida unataka rais akistaafu aishi kama RAIA wa kawaida
In reality mi naona rais astaafu anapumzika tu .
Hafu MTU kama rais usifananishe Na daktari sijui nurse au mwalimu yule ni kiongozi wa juu kabisa katika taifa kuwatunza top 3 wetu wakistaafu sio sababu ya umaskini wetu hizo ni argument za kitoto.
Lazima tuwatunze hawa watu wamebwba siri zote za nchi wanajua nchi nje ndani unataka wakaishi kiufukara baada ya kustaafu washawishike kufanya mambo ya ajabu.
Tena nadhani
Pia top wa majeshi nchini inabidi waweker pia kwenye hizi privileges incase nao hawana
Watu kama CDF, Na top team yake yote yani luteni general wake Na ma major heneral.
IGP, DG wa TISS
Pia mwanasheria mkuu Na jaji mkuu pamoja Na speakers wote.
They know too much lazima tuwacontrol baada ya kustaafu Na kuwatunza hadi wanapokufa ni jukumu LA taifa.