Recent content by Mpwayungu Village

  1. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huyu jamaa wa Wizara ya Elimu anawatapeli Watumishi wa Umma kuwa anaweza kuwafanyia mpango wa uhamisho

    Safi sana jamaa lina akili sana, tena ikiwezekana inabidi mtapeliwe mpaka wake zenu 😀😀😀😀
  2. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Ndomaisha yao hao Kila siku
  3. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    DM yangu imejaa wanasema niwakopeshe
  4. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    ATM watakanyagana sana
  5. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Walimu mnazingua sana, tafuteni biashara hata ya kuuza upupu mazee
  6. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Huna akili wewe sijui unasemea walimu wapi, hawa hawa wanaotembea wanaongea peke yao barabarani kama wanaumwa dege dege?
  7. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Nina uwezo wa kukulisha ww na ukoo wenu wote kwa miaka 200
  8. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Sifanyi kazi za kipumbavu
  9. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Ulitaka iwe saa kumi asubuhi?
  10. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Na kuiba kura. Baada ya hapo yanatelekezwa ndio mana wamevubaa kama nungu nungu
  11. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Tupo hapa Ushirombo tunakula supu ya mkia wa Ng'ombe na ulimi wa kuchoma ahsee nimeona idadi kubwa ya walimu wanakuja kukopa unga na dagaa hapa kwa Mangi hadi wote tukajiuliza kwani imekuweje? Mangi anasema walimu hawajapata mshahara bado. Tukamuuliza kwani ni wao tu ndohawajapokea mshahara...
Back
Top Bottom