Recent content by mputtu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengine huwa hawaoneshi dalili za kufika kileleni!

    Word! Umeongea facts ndugu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa dunia ya leo mahusiano mengi ya kimapenzi huwa yanakufa kwenye hatua hii

    Hapo anategemea kupata na pesa ya ziada chakula, vocha njiani, sasa wewe unamtumia ticket lazima akumind na matusi juu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwa dunia ya leo mahusiano mengi ya kimapenzi huwa yanakufa kwenye hatua hii

    Imekaa kibiashara zaidi!! hatukatai shida za mahitaji ya fedha zipo, lakini ametongozwa tuu siku ya kwanza ya pili anaomba pesa kwa shida zake jamani!!!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nimetoka kuangalia mpira nimekuta mke kafunga milango, kaniambia nirudi nilipokuwa...

    Pole, je, ulimpata taarifa kuwa utaenda kuangalia mpira? Mwanamke ukimpa taarifa sidhani kama angefikia kukutamkia kalale huko huko. Mawasiliano muhimu kwenye uhusiano.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

    Word!!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unajiskiaje mke/mpenzi akikuita baba?

    Si sahihi, kuna majina yanatumika pasipo stahili. Labda kama wana mtoto au watoto wanaelekezwa kwa baba yao. Binafsi kama mpenzi napenda aniite jina langu ukiacha haya majina ya romantic na sii kuniita baba.
Back
Top Bottom