Recent content by Mpumalanga Nelspruit

  1. Mpumalanga Nelspruit

    Manji asitumike kisiasa na wazinifu wa kisiasa

    Inawezekana ulichokiandika hukijui kwanza eneo si Bagamoyo eneo alilotoa ni kigamboni so far embu jitafakari uandike vizuri
  2. Mpumalanga Nelspruit

    TLS kufutwa rasmi? mswada wakamilika kupelekwa bungeni

    Taasisi tu ndiyo ya kikoloni, mbona barabara, majengo mpaka ikulu yako ya kikoloni
  3. Mpumalanga Nelspruit

    Wafanyabiashara wa jumla Kariakoo nao kuuzia mali zao barabarani

    Wanachokijua wao toka wamepewa mamlaka ni, 1: Kutumbua 2: Kuzuia mikutano ya kisiasa 3: Kupanda miti Far mpya 4: Kukamatana na kupelekana mahakamani 5: Tanzania ya Viwanda 6: Kupunguza watumishi hewa 7: Kuhamisha sirikali kupeleka dodoma lakini hakuna ofisi za watendaji wake EMBU JAZIA...
  4. Mpumalanga Nelspruit

    Kuzubaa kwa serikali yetu juu ya kinachoendelea Mozambique: ACT wazalendo yailima barua FRELIMO

    Kwiiii kwiiiii kwiiii Inch I Ya A man I hiituko radhi tukapatanishe wanaogombana kuliko kuangalia wananchi wake wanateseka
  5. Mpumalanga Nelspruit

    Natafuta Pick-up

    Mzee hiyo pickup bado unayo na being take jee
  6. Mpumalanga Nelspruit

    KISUTU: Yaliyojiri kesi ya Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio. Shahidi wa Jamhuri aweweseka

    Ya ngoswe muachie ngoswe Ya Tundu Lissu mwachie Tundu Lissu Wakili was serikali alijua kuwa hakimu atatoa upendeleo juu ya maamuzi na mwenendo mzima wa kesi. Nanukuu kipengele iki "PAUL KADUSHI WAKILI WA SERIKALI AWEKA PINGAMIZI Kadushi: Napinga swali , tafsiri ya Katiba na serikali halali...
  7. Mpumalanga Nelspruit

    Makonda: Leo usiku mtausikia moto utakaowaka katika viunga vya Jiji la Dar.

    Labda Tukumbushane huyu mzee tupa tupa ahadi take ipi iliyoanza mwanzo mpaka mwisho ikatimia na majibu yake tukayaona wananchi
  8. Mpumalanga Nelspruit

    Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

    Sirikali sikivu ni ile ambayo inakaa na kuangalia jinsi gani kutatua kero za wapiga kura na kuleta maendeleo kwa nchi. Maono yangu nchi imewashinda ASUBUHI KWEUPEEE kila siku mnatubadilishia maneno Mlianza na kuuza au kutumia unga sasa hivi mmekuja na habari ya vibari. Yetu macho mtukufu
  9. Mpumalanga Nelspruit

    Wengine wametajwa, wengine wamefanywa siri, haki na usawa viko wapi hapa?

    Mmh hi I sinema imewashinda watu, wengine watajwe na wengine wakabidhiwe kwenye tume husika kwani mwanzo hakukuwa na time? Ifike kipindi tuwe responsible na madaraka yalipo kila idara ifanye kazi yake tuache sifa za kijinga
Back
Top Bottom