Mawazo tupu hapa yamenijaa Ex wangu juzi kati alinicheki kuuliza kama nishawahi pima vvu nikamjibu hapana akadai Hua wana utaratibu wa kifamilia kwenda kupima kila mwaka sasa aliipa presha kulingana na mazungumzo yalivyo kua na yapata wiki sasa hapatikani hewani Nimecheki humu zile Dalili za...
Naombeni kufahamu Dalili za mwanzo za Maambukizi VVU Maana nimejaribu Kutafuta humu nilizopata wengi wamezielezea kua ni za 90'S huko so mpya zipoje kama zipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.