Recent content by mpigakura mlipakodi

  1. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania TCRA hili mnaliona, au nanyi mnanufaika nalo ili kutesa watanzania!?

    Mkuu jifunze kidogo utaelewa kwamba vifurushi siyo gharama halisi za mawasiliano na vina mipaka ya muda n.k
  2. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Hizi hapa ambulance bajaj made in Mwanza, Tanzania

    Pongezi nyingi kwa ubunifi. Ila naomba mnisaidie, habari hii inakuwaje ya kisiasa?
  3. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Fredrick Sumaye ndani ya Star TV - Masharti ya Misaada toka kwa Wahisani

    Ningefurahi sana kusikia Sumaye amesema nini juu ya misaada na masharti yake. Nilidhani hii ingekuwa mada nzito ikigusa yanayoendelea kwa jirani zetu Uganda. Hayo ya elimu ya Sumaye hata sioni yana uhusiano gani na mada hii.
  4. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Ubunge Kalenga: Godfrey Mgimwa apokewa kwa kishindo kijiji alikozaliwa marehemu Baba yake.

    Mkuu unajaribu kusema kwamba wewe unaishi kijiji alichozaliwa mzazi wako?
  5. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Bunge lakanusha tuhuma za Paul Makonda kuhusika na wizi wa simu bungeni

    Hivi kumbe hawa wajumbe wa Bunge la katiba kwa sasa ni Waheshimiwa?
  6. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Bungeni pawaka: KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI

    Mimi natamani maamuzi yooote ya bunge letu yawe ya mfumo wa kura za wazi. Ili tusiendelee kuwa na 'collective responsibility'. Zikipitishwa sheria za kipuuzi basi kila mwananchi ajue nini mchango na msimamo wa mbunge wake katika sheria husika.
  7. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu

    Kumbe hawajafukuzwa?
  8. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Dr.slaa afunguka kuhusu posho - uzalendo wa DK SLAA ukowapi???

    Kwa hiyo atavuta posho ya kuzunguka nchi nzima kupinga posho?
  9. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

    Honera sana Mheshimiwa Freeman Mbowe na wenzako kwa kufanikiwa kuzuia kiasi cha laki saba. Huo ni uzalendo wa hali ya juu!
  10. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

    Wenye gesti dodoma huu ni wakati mzuri wa kuongeza bei
  11. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yamteua Mh Lema kuongoza kampeni Kalenga, huku CCM ikimteua Lusinde

    Andika neno LEMA, acha nafasi VURUGU-KALENGA kisha tuma kwenda 123 utajishindia zawadi nono!
  12. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli akagua ujenzi wa nyumba za serikali 851 jijini Dar es salaam

    Nikiangalia hii nyomi iliyoandamana naye napata picha namna ambavyo Magufuli anajua kucheza na akili za watanzania. Kuna ile nyingine aliamua kupanda kwenye lile bulldozer kabisa, sijui na yeye ni dereva au pozi tu za picha..
  13. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro yafanya vizuri kielimu,Kigoma Singida wafanya vibaya

    Kitila ni msomi katika sekta ya elimu. Hii ni changamoto kwake pia ukizingatia anatoka Singida. Sio kila siku kuichambua CHADEMA mara sijui imefura mara imesinyaa!
  14. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete ahojiwa na CNN kuhusu ujangili

    Uchambuzi wako umeegemea kwenye umahiri wa kujibu maswali, nakubali hilo ni la msingi kwa mwanasiasa yeyote. Rais amesema ukweli, he was very honest and not ambitious to impress, hilo huwa ni adimu sana kwa wanasiasa.
  15. mpigakura mlipakodi

    JamiiForums Tanzania Mdahalo wa wazi kati ya Dr. Slaa Vs Dr. Kitila mkumbo

    Typical bvch attitude!
Back
Top Bottom