mimi ni wabukoba na najua vilivyo siasa za bukoba usema kweli rwakatale suala la ugaidi limempandisha chart sn hata kagasheki kashaanza kukata tamaa kwa mfano nanukuu juzi akiongea redio vision kuwa kuna watu wanamwambia 2015 jimbo la bukoba mjini linarudi upinzani na kulirudisha itakuwa kazi na...
Bukoba mjini nako kagasheki alichukua kura ambazo zimepigwa tayari toka kiwandani kagera sugar afu na nkenge ccm walimuonga PHOCAS ili akajiondoe ktk kinyanganyiro hicho cha uchaguzi
Kiukweli kazi ya ukombozi inahitaji moyo mimi nina vijana kama ishirini tumekuwa tukihitisha mikutano pamoja nakufungua matawi katika vijiji kiukweli tumekuwa na wakati mgumu sana kuja kuwaelimisha nataka wanaharakati wote wanaotokea maeneo ya Bugabo muni PM ili tuweze kukutana wote kwa pamoja...
Katika hali ya kushangaza jana kagasheki wakati akiwatembelea waanga wa mafuriko wilaya ya bukoba mjini alipofika kata ya hamgembe akawakuta wenye njaa zao wamemsubiri ndipo alipoamua kuwatupia elfu arobaini wananchi wake badala yakuajengea daraja lakutoka kashabo kwenda uswahili kiukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.