Recent content by mpigadomo

  1. M

    Lwakatare kugombea tena ubunge bukoba mjini 2015?

    we ---- tu bora unyamaze
  2. M

    Lwakatare kugombea tena ubunge bukoba mjini 2015?

    mimi ni wabukoba na najua vilivyo siasa za bukoba usema kweli rwakatale suala la ugaidi limempandisha chart sn hata kagasheki kashaanza kukata tamaa kwa mfano nanukuu juzi akiongea redio vision kuwa kuna watu wanamwambia 2015 jimbo la bukoba mjini linarudi upinzani na kulirudisha itakuwa kazi na...
  3. M

    Picha na habari Live toka uwanjani Arusha

    maccm nayo kwa wivu hayajambo nani kakuomba hela ya msosi waache wasikilize hoja makini
  4. M

    Picha na habari Live toka uwanjani Arusha

    chadema songa mbele wanaokubeza macho hawana
  5. M

    Kitila Mkumbo kutua Tabora kesho

    hongera sn jembe
  6. M

    Mch msigwa unamtafutia nini kinana kabla ya kuomba radhi au mahakamani?

    kinana kapakwa mavi hata kwa kilo kumi za sabuni hasafishiki
  7. M

    Kambi ya Upinzani ni sahihi kumuita Mwigulu mheshimiwa?

    yaani ninavyomchukia mwigulu nataman nivae bomu nijitoe muhanga
  8. M

    Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

    kiukweli dr slaa ni chaguo la mungu
  9. M

    Slaa wa CHADEMA alivyopokelewa nchini Zambia

    dr Slaa ndio habari ya mjini
  10. M

    CHADEMA M4C Kuunguruma leo Bukoba Mjini Buyekera Sokoni...fuatilia

    Kagasheki lazima aisome number pamoja na magaidi wenzake ngoja nijiandae kuelekea mkutanoni
  11. M

    Mwigulu akalia kuti kavu Iramba Magharibi

    Mwigulu amenyea genge kazi yake tutaifanya sisi makamanda ngoja twende iramba nikuchakaza ondoa maraya iramba
  12. M

    Orodha ya Majimbo yaliyochukuliwa na CCM ki-mabavu uchaguzi mkuu 2010

    Bukoba mjini nako kagasheki alichukua kura ambazo zimepigwa tayari toka kiwandani kagera sugar afu na nkenge ccm walimuonga PHOCAS ili akajiondoe ktk kinyanganyiro hicho cha uchaguzi
  13. M

    Viongozi wa chadema tunawaombeni Bugabo mkoani Kagera Bukoba vijijini

    Kiukweli kazi ya ukombozi inahitaji moyo mimi nina vijana kama ishirini tumekuwa tukihitisha mikutano pamoja nakufungua matawi katika vijiji kiukweli tumekuwa na wakati mgumu sana kuja kuwaelimisha nataka wanaharakati wote wanaotokea maeneo ya Bugabo muni PM ili tuweze kukutana wote kwa pamoja...
  14. M

    Kagasheki afanya kituko cha mwaka bukoba jana

    Katika hali ya kushangaza jana kagasheki wakati akiwatembelea waanga wa mafuriko wilaya ya bukoba mjini alipofika kata ya hamgembe akawakuta wenye njaa zao wamemsubiri ndipo alipoamua kuwatupia elfu arobaini wananchi wake badala yakuajengea daraja lakutoka kashabo kwenda uswahili kiukweli...
Back
Top Bottom