Hizi tabia za kikekike za kujilizaliza zitaisha lini? Na hii inaonesha ni jinsi gani uto ni timu ndogo Afrika .
Timu kubwa haiwezi kukaa eda mwaka mzima kulilia goli lililokataliwa na refa.
Wakati simba anafungwa goli la off side mwaka juzi na Orando Pirates mliona kawaida na kuwadhihaki . Jana mmedhurumiwa ndo mnatafuta huruma siyo?
Haya mambo ndiyo huwa ninawambia , tuache ushabiki wa usimba na uyanga usio na tija kwenye soka letu. Penye ukweli tuseme siyo kuwa tunadhihakiana...
Kwakipi ambacho Yanga imekifanya kizuri na simba haijawahi kukifanya?
Ushabiki mandazi huu.
Simba kaifanya Tz kuingiza timu 4 kwenye mashindano ya CAF wakati huo vyura mnakoroma tu huko kwenye mabwawa yenu ya jangwani .
Simba ni timu ya kwanza Tz kufika 1/4 fainali ya klabu bingwa Afrika...
Hii ishu ya umbali wakati simba anaenda zambia na Yanga anaenda Rwanda wanayanga mliikomaa Sana humu kwamba umbali siyo sababu .
Mlifungua nyuzi nyingi humu za kuiponda simba kwamba Mashabiki wake hawana pesa , hawana mapenzi kwa timu yao na niwa wachache.
Leo mnakuja na utetezi wa umbali ...
Mkuu hakuna cha hasira wala nini. Tunachosema ni ukweli hapa hakuna ambae ameshafuzu kila timu bado ina nafasi.
Kama simba angefungwa zaidi ya goli Moja ningekwambia mwendo kaumaliza. Lakini kwa hilo goli Moja bado nafasi anayo iwapo atasahihisha nakosa yake.
Ulitegemea kwenye lile kombe la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.