Recent content by mpiga vichwa

  1. mpiga vichwa

    Huenda ni kweli yanayosemwa juu ya FEI

    Aziza ki alipokosa penalty dhidi ya Mamelodi naye nijia ya kwenda Mamelodi ? Tuanzie hapo kwanza
  2. mpiga vichwa

    Nitashangaa sana Juma Mgunda akikosa tuzo ya mwezi

    Ficha hii utopolo wasiione
  3. mpiga vichwa

    Simba wadai kombe la Muungano siyo kombe la ubingwa

    Usikute na wewe una mume umeolewa na una watoto wanakuita mama.
  4. mpiga vichwa

    CAF yamtema refa aliyekataa goli la Aziz Ki

    Hizi tabia za kikekike za kujilizaliza zitaisha lini? Na hii inaonesha ni jinsi gani uto ni timu ndogo Afrika . Timu kubwa haiwezi kukaa eda mwaka mzima kulilia goli lililokataliwa na refa.
  5. mpiga vichwa

    Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

    Hongera utopolo kwa hilo goli lenu kuwapeleka nusu fainali.
  6. mpiga vichwa

    Furaha ya Nchi hii imeshikiliwa na Mpira. Leo nchi haina furaha baada ya kufanyiwa uonezi Timu ya Wananchi

    Mtaleta kila aina ya mada lakini jibu ni kwamba wote simba na Yanga wameishia robofainali. Nyingine ni porojo tu
  7. mpiga vichwa

    Kama uamuzi wa refa jana kati ya Young African na Mamelod ungefanyika uwanja wa Taifa tungeshuhudia nguvu ya umma ambayo hakuna askari angeidhibiti

    Unadhani CAF ni TFF kwamba wanaziogopa simba na Yanga? Mngefungiwa ndipo huo ukichaa wenu uwaishe.
  8. mpiga vichwa

    Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

    Wakati simba anafungwa goli la off side mwaka juzi na Orando Pirates mliona kawaida na kuwadhihaki . Jana mmedhurumiwa ndo mnatafuta huruma siyo? Haya mambo ndiyo huwa ninawambia , tuache ushabiki wa usimba na uyanga usio na tija kwenye soka letu. Penye ukweli tuseme siyo kuwa tunadhihakiana...
  9. mpiga vichwa

    Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

    Kwakipi ambacho Yanga imekifanya kizuri na simba haijawahi kukifanya? Ushabiki mandazi huu. Simba kaifanya Tz kuingiza timu 4 kwenye mashindano ya CAF wakati huo vyura mnakoroma tu huko kwenye mabwawa yenu ya jangwani . Simba ni timu ya kwanza Tz kufika 1/4 fainali ya klabu bingwa Afrika...
  10. mpiga vichwa

    Rwanda tulijazana coaster 7, South imekuwaje?

    Hii ishu ya umbali wakati simba anaenda zambia na Yanga anaenda Rwanda wanayanga mliikomaa Sana humu kwamba umbali siyo sababu . Mlifungua nyuzi nyingi humu za kuiponda simba kwamba Mashabiki wake hawana pesa , hawana mapenzi kwa timu yao na niwa wachache. Leo mnakuja na utetezi wa umbali ...
  11. mpiga vichwa

    Simba waombe msamaha wameaibisha taifa

    Mkuu hakuna cha hasira wala nini. Tunachosema ni ukweli hapa hakuna ambae ameshafuzu kila timu bado ina nafasi. Kama simba angefungwa zaidi ya goli Moja ningekwambia mwendo kaumaliza. Lakini kwa hilo goli Moja bado nafasi anayo iwapo atasahihisha nakosa yake. Ulitegemea kwenye lile kombe la...
  12. mpiga vichwa

    Simba waombe msamaha wameaibisha taifa

    Hao walifungwa nyumbani ndio watakaoshinda ugenini na hao waliodraw nyumbani ndio watakaochezea vichapo ugenini . Tunza hii post.
  13. mpiga vichwa

    Try Again: Tunaenda kupata ushindi Misri.

    Kama nyie mna matumaini ya kumfunga Mamelodi kwao , iweje simba muone hawezi kumfunga Ahly kwao?. Huu ni mpira lolote laweza kutokea msikariri.
Back
Top Bottom