uzi huu uunganishwe na nyingine zinazomuhusu RC wa malalamiko, na Rc mwenyewe ujumbe ukufikie ufanye kazi ya kutatua matatizo ya haraka kwa wananchi badala ya kuwa sehemu ya malalamiko
Yaan kwa ufupi huyo RC ana akili fupi kama hiyo kofia yake aliyovaa siku hiyo!
Haiwezekani kwa hali yoyote kushangaa tatizo lililo ndani ya uwezo wako. Mkoa ni wake, watumishi wote wako chini yake, yeye ndio mwenye mkoa halafu anajishangaa uozo wake ambavyo hajui kuongoza.
Badala ya yeye...
Hapo mkuu wa mkoa yupo kutafuta kiki muda huu wa lala salama na hazitamfikisha popote. Kiuhalisia kila anayekwenda hospitali huwa anaumwa na utaratibu wa foleni ni lazima ufuatwe na wingi wa wagonjwa unaweza usiendane na idadi ya watumishi. Na ukiwa kuna udharura wa ugonjwa busara ni kwenda...
Ila siyo kote ambako masoko yalijengwa sehemu siyo rafiki, kwingine yaleyale yaliboreshwa ila wale wafanyabiashara hawakai ndani ya masoko na maeneo wanayopanga vitu chini ni uchafu mtupu.
Na pia kwa maeneo ambayo tunayaita sio rafiki yanaweza kuwa sio rafiki leo ila yakaja kuwa rafiki jinsi...
Yaan wachina wanaandamwa kila kona na wafanyabiashara uchwara, kila siku mchina hivi mchina vile! Wafanyabiashara wote wababaishaji mtoke mkatafute kazi nyingine mnazoweza kufanya kama biashara zimewashinda kwasababu biashara ni ushindani na dunia imefunguka kila mtu apambane kumpatia mteja...
Jukumu la malezi ya mtoto linaanzia nyumbani, kwa mzazi/mlezi wa mtoto.
U-busy, uzembe na kutojali kwa wazazi/ walezi ndio kunapelekea watoto kujilea wanavyotaka. Kitu muhimu watu wazae pale wakiwa tayari kubeba jukumu la malezi na wazae kwa uzazi wa mpango.
Hongera sana kwake! Amejitahidi pa kubwa aendelee na research kuongeza zaidi ya hapo ikiwezekana AI iweze kukadiria umbali wa kila kitu kilichopo mbele ya kipofu ili aweze kujua kwa usahihi hatari iliyopo mbele yake.
Pia serikali kupitia wizara ya Sayansi na Technologia itoe support kwa...
Ila kuna Taasisi haifanyi kazi yake inavyotakiwa ndio maana kelele ni nyingi, na Taasisi hiyo ni TAKUKURU, ipo kama haipo vile haisikiki popote kuonyesha makucha yake angalau watu waone mifano inawezekana wanasubiri maelekezo kutoka juu.
Inawezekana lengo la mwalimu ni watoto waonekane nadhifu zaidi, hiyo ni kawaida tu kwa shule za private huwa wanaweka chapa za shule zao.
Halafu upunguze kushangaa vitu vidogovidogo wakati mwingine omba mwalimu akuonyeshe mfano wa hizo soksi baada ya kuwekwa nembo ungejikuta umezipenda!
elimu ni...
Unakiashiria cha wivu mbaya! acha watoto wasome wafaulu ni bora taifa la wasomi wengi wasio na ajira mwisho utafika watajitafuta hata nje ya nchi kuliko mazezeta/ wajinga kurundikana mtaani wataleta laana zote unazozijua na hawana pa kwenda labda wazamie wawe chakula cha samaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.