Ukitaka kuyajua maisha vizuri na kuyafurahia pangilia vizuri uweze kufanya vyote viwili kwa pamoja.
Anzisha biashara na baada ya mwaka na nusu nenda kasome.
Hapa nikitamka kwamba kwa hali ilipofikia haitakuwa sahihi mzigo huu kwa kuanzia akabebeshwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali? La sivyo tuonyeshwe aliishauri nini serikali. Kama ushauri alitoa kupinga swala hilo na serikali haikuzingatia ushauri huo, kwanini basi hakujiuzulu?
Hapa ndipo tatizo la siasa zetu lilipo. Hakuna atakayekubali jina lake kutajwa kuwa alihusika na kuandaa mkataba uliozaa janga hili. Hasa alieweka sahihi kuidhinisha jambo hilo angetolewa hadharani tukamfahamu au tukawafahamu.
Hii mada imekaa kama kitu mtu kajitungia tu kaleta hapa na watu wanapoteza muda wao buree. mleta hii mada hebu tuwekee video yake akiyazungumza hayo uliyoandika.
Hilo wengi tulidhania hivyo tangu ile siku ya kwanza. Lakini kukosekana tamko lolote la uhakika kupinga tamko ambalo limesemwa wazi kwenye mahojiano kama yale unaweza kutafsiri vipi?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.