Serikali moja itakuwa sahihi zaidi kws sababu kuwa na serikali tatu ni sawa na kurudi nyuma. Tulishatoka kwenye tatu, tukaenda ku-pratice serikali mbili, sasa kama tunataka kudhibitisha kwamba muungano ni wa kweli basi sasa na tuunde Katiba na serikali moja.
Hii hunisikitisha sana pia, kuna watu wako so narrow minded kiasi inasikitisha. Wakati mwingine anakuja mtu anageuza mkazungumzo kuelekea kwenye dini ya anayejadiliwa. Pathetic!
Hivi Kikwete siyo mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kweli? Itanishangaza sana maana alichofanya ni sawa na refarii wa mpira wa miguu kuchukua mpira na kuuweka hatua moja kutoka kwenye goli na kupuliza kipenga mpira uanze kuchezwa na wa kwanza kuugusa awe ni chawa team. Allaah Akbaru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.