ccm mnatia aibu sasa haina maana. kama mliogopa local gov elections hata za urais mtaziogopa sana ndiyo maana slave trade inaendelezwa na slowslow na sasa hata katibu ameingia kichwa kichwa!
Hata wanawake hawajahama. Ni wachache mno waliohama na wanahesabika. Inaonyesha kuwa wanawake wana misimamo zaidi kuliko wanaume wa bara!
Hongera wapinzani zanzibar, hongera wanawake bara!
Tatizo kubwa la watanzania nI elimu, elimu, elimu!
Hii ingekuwa Kenya 80% ya watu wangekubali kuwa 30% ya watoto wa kike kuadhibiwa kwa kunyimwa haki yao ya kupata elimu bure ya serikali ni janga la taifa. Wala halina mjadala!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.