Recent content by Mpapulah

  1. M

    Rasmi hatimaye Yanga wafyata mkia, kwaheri Fiston Kalala Mayele Esazalibiere

    It's all about business pande zote mbili zinafaidika na kuondoka kwake na siku zote biashara ya mpira ndo ilivyo. All the best Mayele huku nyuma umeacha legacy ambayo haitasahaulika
  2. M

    Ndugu zangu hili sitalisahau kabisa

    Mkuu kwani senior nao wanazingua kama New member?
  3. M

    Printer na photocopier nzuri kwa matumizi ya shule

    Nashukuru kwa ushauri mkuu
  4. M

    Printer na photocopier nzuri kwa matumizi ya shule

    Kuna mdau kanishauri tuchukue canon ir 2206 je hii inatufaa? Pia mwingine kanishauri tuchukue canon ir 2030
  5. M

    Printer na photocopier nzuri kwa matumizi ya shule

    Shule ipo Kongwa Dodoma
  6. M

    Printer na photocopier nzuri kwa matumizi ya shule

    Kwanini mkuu, tupeni ushauri basi
  7. M

    Printer na photocopier nzuri kwa matumizi ya shule

    Habari wakuu Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine na desktop computer Kwa bajeti ya sh milion 2,Naombeni ushauri wenu najua hapa jf kuna watu...
Back
Top Bottom