Recent content by mpapamwali

  1. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania BAVICHA Muheza, Tanga: Kusoma ' Albadili' kwa waliompiga Mhe. Lissu risasi

    Albadir ni kisomo kibaya sana kimejibu asee
  2. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

    Wengi wao jeuri sana, wiki mbili zilopita nilienda hospital nikatibiwa fresh ile nataka kutoka kufika getini nikakutana nae msichana mdogo tu mlinzi. Akaanza haya kaka geuza hapo hapo hakuna njia huku ni kwa kuingilia tu. Nikamjibu naomba nipite ka leo tu kwa kuwa naumwa sana siwezi kuzunguka...
  3. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Nini hukupa faraja pindi unapoishiwa?

    Faraja yangu ninapoishiwa ni kuwa na chakula + bundle. Kwa maana nitakuwa na uhakika wa kula na kuperuzi mtandaoni.
  4. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Jambo gani unajutia kutolifanya pale ambapo umri uliruhusu?

    Najutia kuanza mapenzi mapema yamenicost sana sana nahisi ndio chanzo cha kupoteza direction.
  5. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

    Hizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
  6. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

    Unataka video mtu akibanduliwa ama proof gani????
  7. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Magufuli Bus Terminal haijakidhi viwango vya kuitwa stendi ya Kimataifa

    Stendi mbovu sana bora Ubungo mara100
  8. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Nimefulia wandugu, Mshahara Juni 2021 tayari?

    Mlinzi wetu kapunguziwa mshahara kutoka 346,000/= take home mpk 270,000/=
  9. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai: Wabunge mkiikataa bajeti mmejivua Ubunge wenyewe kwa mujibu wa Katiba

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  10. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

    Tusubiri sheria ichukue mkondo wake.
  11. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Mishahara Mwezi Huu Kwa Watumishi Kuna Nini

    Mshahara huu umechelea sana kutoka mpaka nikajihisi nimetolewa nini kwenye Payroll[emoji23][emoji23]
  12. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Ni kitabu gani Mama Maria Nyerere kampatia Rais Samia?

    Bila shaka
  13. mpapamwali

    JamiiForums Tanzania Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Back
Top Bottom