Ndugu wanabodi,
Kwa tetesi zilizopo ni kuwa baadhi ya wafanyakazi wa Tanesco wanalaumiwa kwa kupokea na kuhamisha muelekeo wa mradi wa REA katika mtaa wa Pumuani katika Kata ya Kirua Vunjo Kusini halmashauri ya Moshi kwa kile kinachodaiwa ni kuupelekea kwa mtaa wa matajiri na hisani kwa mmoja...
Mradi ni mzuri ila kwa hali ya kitropic tuliyonayo ni ya tofauti sana na nchi za Uchina, marekeani na nyingine nyingi ambazo tunazitolea mifano, nadhani kuna haja ya kutambua mbadala ya mradi yenye athari kubwa za kimazingira ndhidi ya miradi mingine ambayo ni rafiki wa mazingira. tukiangalia...
I propose, we cant infer one element out of ten variables, and say it is a significant analysis, however we have the right to praise any of positive efforts being realized.
mie sijazipinga, ukisoma
uzi wangu utanielewa. Kwa maisha ya wakati ule na sasa kuna maendeleo na mbadala mingi. Hii ni kutokana na teknolojia na ushindani wa soko kwa sasa. nakukubali. rai yangu ni kuwe na movies/ filamu mbalimbali na zenye kuutangaza utamaduni wetu kwa upana wake... Upo...
Salam wanabodi,
Naipongeza Serikali kwa huduma kwetu wananchi. Kero kwa leo ni kuwa baada ya kupigwa marufuku kwa jimbo za dini ndani ya mabasi makubwa kwa sasa inaonekana filamu nyingi zinazoonyeshwa ni zile za kikorea zenye ubabe na zisizo na maudhui yanayoeleweka. Hii sio nzuri sana...
Kwa mujibu wa vyombo vya habari ni kuwa ni marufuku vyama vya siasa kufanya mikutano ya siasa kwenye kampeni ya kuwanadi wagombea wa Udiwani nchini kote. Sasa, hapa nachanganyikiwa, utafanyaje kampeni bila siasa? AU SIASA ni sayansi nyingine na kampeni ni sanaa nyingine? Mnatuchanganya... We...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.