Time traveling is possible, Ni swala la Muda tu coz teknolojia kila siku inakua, so naamini ata kama Ni baada ya miaka 500 hyo time traveling itaweza kuwa possible.
Embu fikiria zamani sana kabla simu kugunduliwa alaf mtu angekuambia kuwa Kuna uwezekano wa kumsikia mtu aliepo mtwara wakati yeye yupo Arusha just imagine lazima ungemwambia uyo mtu kuwa amechanganyikiwa but what happened ndo tunaona leo kimegunduoiwa kifaa na wewe upo Arusha unamskia mtu yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.