Nimeota niko na Reginald Mengi, tuko na Lusajo Mwaisaka, Robo Cop, nimeshika kitabu, kimeandikwa 66, basi, nikamwambia Mengi kesho nitakuwa na miaka 6, basi kesho yake 10/03 akaja amevaa ngongoti, kuna muda akapoteza balance, akataka kuanguka, nikamuwahi kuzuia asianguke. Akasema yupo vizuri...