Recent content by Mpajiji

  1. M

    Nini maana Ya DISTINCTION katika matokeo?

    Duuuh. Mbona haileweki kabisa? Wadau mnaoelewa hili msaada please
  2. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    NECTA ndiyo wamebadisha mfumo siyo Mchome
  3. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Hakika hoja iliyotumika ni DHAIFU sana eti kuoanisha na mfumo wa TCU ili iwe rahisi kudahili, hivi miaka yote kumbe ilikuwa shida kudahili? Kama lengo ni kuoanisha kwa nini hawajatumia First Class,Upper Second n.k? Kwa nini kama lengo ni kuoanisha Distinction isianzie 4,4 kama ilivyo vyuo...
  4. M

    Serikali iingilie kati: Madudu katika Matokeo Kidato cha Sita 2014 yanatisha

    Ha ha ha ha, No research no right to speak. Usiongelee jambo usilololijua, eti Arabic, Computer Studies na Masomo ya Dini hyajajumuishwa kwenye upangaji wa madaraja, sasa angalia kwa mfano matokeo ya hiyo shule http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE2014/s1291.htm S1291/0510 M 13...
  5. M

    Ujasusi wa Balozi wa Uingereza: Tanzania, Can We Stand Au Maselle Kugeuzwa Mbuzi wa Kafara?

    Kweli yale maneno aliyotoa Masele jana sidhani kama ilikuwa ni mahali pake hata kama alikuwa sahihi. Maskini JK kila kukicha mawaziri wake wanaibua sintofahamu. Kazi anayo kweli kweli.
  6. M

    Asimulia zawadi feki za Dk. Bilal

    Hakika usanii umsezidi mno kwenye elimu ya nchi hii. Yaani hata Makamu wa Rais anaingizwa chaka na huu upepo utapita tu !
  7. M

    KASHFA WIZARA YA ELIMU:Wanafunzi kumi bora wapewa zawadi hewa

    Khaaaaa, hii wizara ni majanga tu!!!!!!
  8. M

    Dkt. Ghalibu Bilal agawa zawadi hewa kwa wanafunzi Bora

    Hivi Wizara ya elimu mpaka ifanye madudu kiasi gani ndiyo hatua zichukuliwe? Kuna maana gani ya kuandaa sherehe kubwa hivyo wakati mambo ya msingi hayajakaa sawa?
  9. M

    Yanayojiri Bungeni leo Tarehe 19 may kikao cha 12 Bunge la bajeti

    Moto umeiwakia wizara ya elimu kwenye bunge katika kupitisha bajeti, Wametaka kuondoa shilingi kwa sababu ya kuzagaa kwa vyeti feki. Mh Margaret Sitta naye amelitikisa sana kwenye chombo cha walimu. Wabunge wa vyama vyote wameunga mkono ikabidi Lukuvi ndiyo aokoe jahasi. Kawambwa hajui...
  10. M

    NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7

    Mkuu kama mwaka 2012 C ilikuwa inaanzia 50-64 lakini sasa ni 40-49, B ilikuwa 64-79 na sasa ni 50-59, je hapo grade zimebadilika au hazijabadilika? Taarifa ya Wizara imeweka wazi mambo hayo mkuu hapa hakuna uongo. Fungua hiyo link uone alama za gredi za zamani na alama za gredi mpya. Bado...
  11. M

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014, DIV I point 3-7

    Kwa nini Hii Wizara inajifanyia mambo kienyeji, msingi wa mabadiliko haya sasa ni nini au ni ili mradi tu waonekane wamesema jambo?
  12. M

    Mfumo wa gpa kutumika kuchakata matokeo ya kidato cha nne 2014 na kidato cha sita 2015

    Mkuu nimeona kuwa mfumo huo utaanza kwa form VI 2015 lakini bado hoja zangu kuhusu dosari ya mfumo uliotangazwa na katibu Mkuu Novemba 2013 ambao ulitokana na maoni ya wadau sijazielewa. Kwa nini mabadiliko kila kukicha?
  13. M

    Mfumo wa gpa kutumika kuchakata matokeo ya kidato cha nne 2014 na kidato cha sita 2015

    Wakuu hii thread imenichanganya sitaki kuamini kuwa hii wizara ya Elimu na Baraza la Mitihani wamekuwa ni sikio la kufa kiasi hicho waweze kuthubutu kutumia mfumo mpya wa upangaji wa matokeo wakati wanafunzi wenyewe wameshamaliza mitihani ya Kidato cha Sita kwa wale wanaochukua masomo ya arts...
  14. M

    Umakini wa Kinana wamnyima raha Dr. Slaa kwenye siasa

    Hakika siasa za Kinana zimetulia sana
Back
Top Bottom