Recent content by Mpaina

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amtuhumu Lema kuishi sea cliff kwa miezi miwili sasa

    Hivi ile kesi aliyofungua Mwanasheria Mkuu wa serikali iliishia mbona hatuisikii au walishafanya Plea Bargaining juu kwa juu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania CRDB ya Nsekela, kwa watu wanaofuatilia pattern, ilibidi waipige chini muda mrefu

    Watumishi wa Umma ndio wakwanza kukiuka sheria.Kiutaratibu Bank ikiombwa taarifa za mtu huyo mtu anapaswa kujulishwa kama kuna hayo maombi.Ndio maana Benki za Nje zinaaminiwa na wafanyabiashara wakubwa kuliko hizi zetu.Hizi benki za ndani zinatengeneza faida kupitia makato na tozo za kiwizi wizi...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Ni bahati mbaya nchi yetu imefikishwa mahali ambapo mamlaka na utu wa watu haviishi pamoja wenye mamlaka wanaona binadamu ni sisimizi.Inatisha mno kuona leo watu tunauliza yuko Dr.Nchimbi ni jambo baya sana.Ni kweli kama dogo anavuotamba kuwa hakuna mkubwa lakini siku moja taifa litaangamia...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Wanaushahidi mzito au kuwa ni watu wazito?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Hapo wanaipigia Bendera ya Tanzania au?Mfiwa amekaa mwombelezaji kapiga goti
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Amekwambia nani hiyo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Unaweza kuta askari ndio alinza kumpiga Dr.Doctor akareact lakini ni kama kwenye mpira mtu anakupiga ngumi ukirudishia refa akikuona anakupa umeme haanzi pale mlikoanzia .Tumeona tukio kuanzia sehemu ambayo askari ameshakula mweleka.Je kabla ya hapo nani alimwanza mwenzake siamini kama...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Unajuaje kama askari hakumprovoke?bahati mbaya linapokuja suala la raia against police rain hana haki kabisa ni kama vile ameshindana na Mungu.Itakuwa vema upande wa daktari nao ungepewa nafasi ya kusikilizwa hata kama hukumu imeshaandaliwa na amri zimekwisha tolewa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Don't fight with the living god.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Polisi: Conrad Agonza Kayoza anashikiliwa kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari wa Usalama barabarani

    Kuna siku trafiki kachukua leseni kakaa nayo nusu saa nzima mwisho akatuachia mara stika ya nenda kwa usalama haionekani vizuri.Ukweli wananchi wanaishi kwa kuvumilia kuepusha lawama lakini kuna namna wenzetu wanatazama raia kama wajakazi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo adai kupokea vitisho kutoka kwa Mwigulu

    Hapo kuna ujumbe unapelekwa kwa mhusika
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Kwa wewe unavyoelewa unadhani duniani kote Tanzania tu ndio ina Rais? Unajua kuwa hata Nyerere akiwa mwenyekiti wa Chama na Mwinyi Rais alikuwa akisema katiba yetu inampa mtu mmoja mamlaka makubwa sana kiasi cha kutegemea busara yake tu? Unajua kuwa Rais wetu akiamua jambo habanwi na sheria...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Kuwa na cheo haimaanishi mtu anauelewa mpana wa Mambo.Kuna tofauti ya ukuu wa nchi na mamlaka ya kiutendaji.Leo Rais anateua hadi wakurugenzi wa mashirika ya kibiashara badala ya watu kuajiriwa kwa taaluma na uzoefu wao.Leo Rais anateua hadi wakurugenzi wa miji na halimashauri nafasi zilipaswa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Umepiga kelele sana lakini uhalisia uko wazi hakuna biashara ya maana kati ya Tanzania Urusi kiasi cha kuwa na abiria wa uhakika
Back
Top Bottom