Watumishi wa Umma ndio wakwanza kukiuka sheria.Kiutaratibu Bank ikiombwa taarifa za mtu huyo mtu anapaswa kujulishwa kama kuna hayo maombi.Ndio maana Benki za Nje zinaaminiwa na wafanyabiashara wakubwa kuliko hizi zetu.Hizi benki za ndani zinatengeneza faida kupitia makato na tozo za kiwizi wizi...
Ni bahati mbaya nchi yetu imefikishwa mahali ambapo mamlaka na utu wa watu haviishi pamoja wenye mamlaka wanaona binadamu ni sisimizi.Inatisha mno kuona leo watu tunauliza yuko Dr.Nchimbi ni jambo baya sana.Ni kweli kama dogo anavuotamba kuwa hakuna mkubwa lakini siku moja taifa litaangamia...
Unaweza kuta askari ndio alinza kumpiga Dr.Doctor akareact lakini ni kama kwenye mpira mtu anakupiga ngumi ukirudishia refa akikuona anakupa umeme haanzi pale mlikoanzia .Tumeona tukio kuanzia sehemu ambayo askari ameshakula mweleka.Je kabla ya hapo nani alimwanza mwenzake siamini kama...
Unajuaje kama askari hakumprovoke?bahati mbaya linapokuja suala la raia against police rain hana haki kabisa ni kama vile ameshindana na Mungu.Itakuwa vema upande wa daktari nao ungepewa nafasi ya kusikilizwa hata kama hukumu imeshaandaliwa na amri zimekwisha tolewa
Kuna siku trafiki kachukua leseni kakaa nayo nusu saa nzima mwisho akatuachia mara stika ya nenda kwa usalama haionekani vizuri.Ukweli wananchi wanaishi kwa kuvumilia kuepusha lawama lakini kuna namna wenzetu wanatazama raia kama wajakazi
Kwa wewe unavyoelewa unadhani duniani kote Tanzania tu ndio ina Rais? Unajua kuwa hata Nyerere akiwa mwenyekiti wa Chama na Mwinyi Rais alikuwa akisema katiba yetu inampa mtu mmoja mamlaka makubwa sana kiasi cha kutegemea busara yake tu? Unajua kuwa Rais wetu akiamua jambo habanwi na sheria...
Kuwa na cheo haimaanishi mtu anauelewa mpana wa Mambo.Kuna tofauti ya ukuu wa nchi na mamlaka ya kiutendaji.Leo Rais anateua hadi wakurugenzi wa mashirika ya kibiashara badala ya watu kuajiriwa kwa taaluma na uzoefu wao.Leo Rais anateua hadi wakurugenzi wa miji na halimashauri nafasi zilipaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.