NAOMBA NIHITIMISHE KWA HERUFI KUBWA WAKUU. MWANAMKE HATABIRIKI NA HAJUI ANATAKA NINI. HATA WA DARASA LA 7 AKIAMUA ANASEPA MFANO WANGU LA SABA FAILURE MIAKA.
6 SITA NIKAMZALISHA MTOTO WA MIAKA 4 SASA ILA NILIVYOMFUNGULIA KABIASHARA AKAANZA KUPATA HELA AKAANZA MABADILIKO NA DEGREE YANGU...
Usikate Tamaa hata Mimi Nina record Kama yako, tofauti me ni upande wa arts, licha ya ufaulu mkubwa chuo nikasoma ualimu mwaka wa tatu sasa sijui cha jufanya nimepiga Boda nknikachoka nimefanya kadi za ujenzi nkaachoka nikaenda Veta mwaka Jan welding nkamaliza napiga kazi sipati nitakacho ilaa...
HABARI
Naomba kuuliza wakuu nimeona swala la kurekebisha NIDA na gharama ikiwa ni Tsh 20000 je INACHUKUA MUDA WA SIKU NGAPI KUKAMILISHA MAREKEBISHO????
Daaah usikate tamaa ila uwe unajaribu nq mishe nyingine, unaweza ukatoboa ukasahau majeshi Mimi nmehangaika sana nina Uzalendo sipendi ajira napenda kazi nitumikie naamjni maaka huu zamu yangu nasubiri PDF sema me Umri bado nina 24 nina nafasi bado
GPA inategemea na chuo ulichosoma mfano SUA, UDOM, UDSM, MUHAS, NA VINGINE VYA SERIKALI ASILIMIA KUBWA SECOND CLASS WANAPATA LAKINI PRIVATE KAMA SAUTI UNAKUTA FIRST CLASS LAKINI HAIPO MAKINI SANA
Wapi hiyo kaka?
Alafu watu hawajui mujibu na Kujitolea ni cheti kimoja sema maonezi mujibu miezi 3 ila unajitolea kusoma kwaajili ya nchi yako labda mwalimu au Dactari kuhudumia jamii lakini Kujitolea miezi 4 alafu unajenga taifa kwa kulima ujenzi nk lakini sidhan kama inamanufaa kwa taufa kama...
Mwanangu Investo me nilivoona vile pia nkawa mwanzo nilivpingia nkatoka safari home hakuna haki maamuzi ya mtu mmoja serikali iliangalie hili najua mpo humu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.