Recent content by mozambiqueone

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Nashukuru sana kwa ushirikiano. Tayari dogo amepata
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Hahaha kuna moja ilionekana ingawa kuna umeme pekee 30 kwa 30 ilikuwa 6m hiyo. Nafikiri alishauza yule mtu. Unaweza kupata
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Ndani ya jiji tafadhl
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Ndani ya jiji chief
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Ni ndani ya jiji au nje
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kinatakiwa kiwanja 6m Dodoma sqm 1200 na zaidi eneo lenye umeme

    Dogo mpambanaji anataka kiwanja, kwa bei hiyo. Kuwe na huduma ya umeme
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kiasi cha 10,000,000 hisa za kampuni gani zitanipa angalau hela nzuri?

    Sina utaalamu wa kutosha sana na Biashara ya HISA. Lakini nimeshauriwa, kwa kuwa muda mwingi nipo kazini basi vema niwekeze kwenye HISA. Tafadhali 10m hiyo, HISA zipi nichangamkie?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina awaumbua wanaotaka kufuta "Legacy" ya Hayati Dkt. John Magufuli

    Magufuli ameonesha njia sahihi saana ambayo tz tukipita tutafika mbali sana. Hii kitu haijawahi tokea kwa kipindi chote ambacho tumekuwa nacho. Ameonesha kwa vitengo ni kitu ambacho wengi hawakufikiria. Kumbe inawezekana. Tunaweza kuacha siasa za kudanganyana tukachagua maendeleo ya kweli...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

    Kuna watu huwezi waambia lolote juu ya Magufuli, hawaji kukuelewa. Kwa sababu aliyoyafanya yameeleweka zaidi. Kuna kundi lipo na mtazamo tofauti, sijui kwa mwelekeo wao. Huu ni mtaji wa kisiasa kwa kundi fulani, Kuendelea kumsema marehemu ni kuimarisha mpasuko, Na matokeo hata kama si sasa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wetu wazalendo watuambie 'content' ya chanjo ya COVID-19

    Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:- Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content) Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake. Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo. Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Watu 29 wameshakufa kwa wimbi la 3 la Coronavirus. Wagonjwa wafikia 858 Tanzania nzima

    BADO ISIWE NDIO PAPARA YA KUTOA CHANJO. WATAALAMU WETU KWA UAMINIFU WATUSAIDIE KUJUA CONTENT YA CHANJO. DUNIA BADO HAIENDI KASI NA CHANJO HII. USALAMA WAKE NA NINI KITATIKEA MBELE HAVIJATHIBITISHWA.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hivi naweza kupata fuso fighter tan 4.5 usajili kuanzia B kuelekea C kwa 15?

    Habari Nina kamkopo fulani. Fuso fighter ni tipa, tafadhali hapa izingatie ujazo wa 4.5 Kwa 15milion Inaweza patikana?
Back
Top Bottom