1. Nina mgonjwa wangu hivi karibuni amepoteza kumbukumbu, hanitambui kabisa, na ni ndugu wa damu, nakaa nae nyumbani kwangu.
2. Kuna muda anapata nguvu za ajabu anataka kupiga vijana wake, hata dada yake
3. Kuna muda haongei kabisa
4. Kuna muda anaongea, maneno yake kwanini wanataka kumuua. Hapo...
Sina utaalamu wa kutosha sana na Biashara ya HISA. Lakini nimeshauriwa, kwa kuwa muda mwingi nipo kazini basi vema niwekeze kwenye HISA.
Tafadhali 10m hiyo, HISA zipi nichangamkie?
Magufuli ameonesha njia sahihi saana ambayo tz tukipita tutafika mbali sana. Hii kitu haijawahi tokea kwa kipindi chote ambacho tumekuwa nacho. Ameonesha kwa vitengo ni kitu ambacho wengi hawakufikiria. Kumbe inawezekana.
Tunaweza kuacha siasa za kudanganyana tukachagua maendeleo ya kweli...
Kuna watu huwezi waambia lolote juu ya Magufuli, hawaji kukuelewa. Kwa sababu aliyoyafanya yameeleweka zaidi.
Kuna kundi lipo na mtazamo tofauti, sijui kwa mwelekeo wao.
Huu ni mtaji wa kisiasa kwa kundi fulani,
Kuendelea kumsema marehemu ni kuimarisha mpasuko,
Na matokeo hata kama si sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.