Wazo zuri saaaana, hebu anejua wahusika na kuandaa michakato ya kitaifa aliwasilishe wazo hili, ni zuri sana tena ongezeko la Tsh.25 tu wala siyo Tsh.50. Big up mtoa wazo, wewe ni mbunifu na muona mbali
Kutaka kujua cheo cha Mangu kitakuaje au kitafuata protokali gani kwanza jibu hili;-
1. Mkuu wa Mkoa Kigoma anacheo gani?
2. Mkuu wa Mkoa Bukoba ana cheo gani?
Na wengine sema mwenyewe
Yote kwa Yote enyi Watanzania na Wazalendo wenzangu, tujaribu kutoa ushauri na maoni ya jinsi gani tutaweza kujinasua katika kadhia hii, waliokula wamekula hao tutawabana baada ya Nchi na Mali yetu kuirudisha mikononi mwetu chini uongozi mahiri wa comrade wetu JPM. Tujipe moyo tutashinda tu...
"Ashakum si matusi" hivi mzazi akiwa shoga kugeuzwa Mwanamke na wanaume wenzake, halafu katika raha zao mzazi kwa kunogewa na penzi la Basha wake anasema na mwanangu pia aje afanywe hivi hivi na mwanao, sasa mtoto alipo kuwa mkubwa kaona huo ni upuuzi na ushenzi, je! mtoto huyu kukataa kufanya...
Kinacho niudhi kwa wabongo ni wakati hakuwepo wa kudiriki kufanya ujasiri huu wengi tulilalamika, Nchi inaliwa, Nchi inafujwa, n.k. sasa Mwenyezi Mungu amempa ujasiri kijana mwenzetu ooooh maneno machafu ya kiusaliti yanatokea, jee! tunataka nini? Hatujiulizi au hatukumbuki kuna watu walisema...
Kweli hili JEMBE lakini ninaimani ni wa awamu ya kwanza tu ndio wanamuelewa vzr na wachache wa awamu zingine au wale ambao wamepigika, tunakutegemea baba tukomboeeeee!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.