jaman mi ni mwanafunz wa hiyo kozi ya occupational therapy kwa ngazi ya diploma mwaka wa kwanza,naulizia mshahara wake ni kiasi gani na je kwenye soko la ajira ipoje,kama haipo vizur naomben ushauri niiache au niendelee nayo🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.