Ooredoo Q.S.C. has announced the appointment of Rene Meza as the new CEO of its Myanmar business, replacing Mr. Ross Cormack who has taken the decision to leave his position later this year.
Ooredoo is a leading international communications company delivering mobile, fixed, broadband internet...
Chama cha Alliance for change and Transparency, ACT-Wazalendo, leo siku ya ijumaa kinafanya mkutano wake wa kwanza wa kizalendo katika mji wa Songea, pale pale palipoanzia vuguvugu la kizalendo la kuitetea nchi hii kwenye vita Majimaji.
ACT inaonyesha wazi kwamba nchi hii ili iweze kubadilika...
Ilikuwa kila baada ya muda tunasikia operation mpya ikitangazwa, operation zilizokuwa zikijikita kuieneza chama cha kiharakati mpaka kupatikana kwa jina la M4C, lakini tangu kipigo cha mbwa mwizi cha chopa tatu kata tatu, kumekuwa na ukimya mkuu.
Kipi kimewasibu hawa jamaa wa chama cha...
Mbona maandishi yako yanakinzana na uhalisia alionao Mnyika, au ulikuwa unaandika huku umesinzia.
Nani kakwambia kuwa mjamaa ni kuwa masikini?
Ujamaa ni Undugu, na kuishi kindugu hakumaanishi umasikini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.