Recent content by mosktear

  1. mosktear

    JamiiForums Tanzania GE2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

    Ila alijisahau sana, alitoa kauli zisizorixhisha kwa viongozi wenzie bila kujali japo amefanya mengi mazuri ila alishindwa kuelewa uongozi ni dhamana, #tujitahidi kukumbuka tulikotokea na tusijisahau kwa vyeo tulivyonavyo
  2. mosktear

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kisheria katika hili suala langu kudhulumiwa pesa zangu za upatu

    Asante mkuu ntajaribu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mosktear

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kisheria katika hili suala langu kudhulumiwa pesa zangu za upatu

    Tulikua tunacheza mchezo wa kupeana hela (upatu) wa 500k kila mwezi ila baada ya mizunguko kadhaa kuisha kuna ikafika zamu yangu kupokea ila katika washiri, mshiriki mmoja akaomba atanipa mwezi unaofwata kwani amekwama kutokana na matatizo yanayo mkabili. Nikamwelewa lakini tokea pale ni miezi...
  4. mosktear

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane mawazo wadau kuhusu kilimo

    Sawa mdau nmekuelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mosktear

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane mawazo wadau kuhusu kilimo

    Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mosktear

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane mawazo wadau kuhusu kilimo

    Asange mkuuu ila kuhamishwa ni ngumu ofisi zipo dar tu labda niache kazi na pia nilimaanisha hatakama ni mkoa wa jirani kama moro, dodoma sio lazima dar Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mosktear

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane mawazo wadau kuhusu kilimo

    Mimi ni mfanyakazi katika mahali (mwajiriwa) hapa Dar ila kama unavyojua kwa maisha ya hapa mjini ajira pekee utachelewa sana kupata maendeleo hivyo nawaza kidogo nnachopata kwenye ajira huku nikitupie kwenye kilimo angalau kiongezeke ila sijui nianzie wapi hivyo niombe mawazo yenu wakuu na...
Back
Top Bottom