Kwani huyu Chrispin hapa nu yule aliemaliza TCA mwaka 94 na kina Sumo? Mimi Robert Moshi, nilimaliza 94 lakini nikiwa Automotive Engineering, napenda pia kuwafahamisha kuwa mwenyezi Mungu aliwachukua pia kina Mzee Lugundi, na Mzee Mkongwe aliekuwa Automotive
Hicho kizazi kina matatizo sana, unajua wao wameshiba kwa hiyo wanaona mambo yaendelee hivihivi, wanasahau kuwa kundi kubwa linaishi maisha ya taabu, halafu wanajifanya wanaijua amani sana, watu kama hawa hawapaswi kupewa nafasi yoyote ya kuongea kwani hawana hata chembe ya busara, wamenibore sana
Huyu mama anataka kutuambia polisi kuua ni sawa? maana anasema Wamechokoza nyuki, kwanza ni kina nani wamechokoza nyuki? ni wananchi au waandishi wa habari, na hilo jeshi la polisi liko kwa kuwalinda kina nani?, ni maswali ambayo kila mtu anaweza kujiuliza, Tanzania tuna watu akili zao ni...
Yahya hawa wazee wanaweza kuhatarisha amani ya nchi kwa kauli zao, Eti ITV....Hapo kweli unategemea kupata busara kweli? Tunazungumzia misingi ya amani ITV wamekujaje hapo, Next time changanyeni watu wa umri tofauti, hicho kizazi cha wazee kama hao hakina jipya, kiko nyuma miaka 47 iliyopita...
Kweli kabisa, walijitahidi kadri ya uwezo wao kuupandikiza udini, sasa wanahaha kuuzima, hauzimiki huo hadi mtakapoondoka madarakani-kaka Nape huko hakukufai wewe bado kijana bwana, achana na hao wazee na chama chao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.