Wakuu kwema.
Nataka kushare kitu kinachoniumiza moyo lakini sina jinsi.
Nimeoa ni zaidi ya miaka 8 sasa, tuna watoto watatu na tunaishi vizuri tu ndani ya ndoa yetu.
Kitu kinanachonitatiza akili yangu ni kuchepuka; hii tabia ilianza miaka km sita hivi iliyopita baada ya mke wangu kujifungua...
Wakuu.
Niko hapa kwa majirani kwa rais anayewasumbua wale wenye timu iliyopigwa na timu ya wananchi jana
Niko kikazi, nilifika hotel fulan standard but si kali sana ila bei kubwa, nilikuta pisi moja reception iko na sura ya kukidhi.
Sasa jana nimelala, ile pisi ikawa haipo, leo imekuja basi...
Mkuu inawezekana labda ni mtoto wenu wa kwanza but mwanamke akijifungua kuna mabadiliko mengi sana hutokea mpe muda; mimi huwa naacha miezi 6 kabisa yaani mpaka anianze ndo naanza kupelekea Moto.
Ila sasa hii ilisababisha kuingie kwenye mchepuko, kiukweli niliacha kuchepuka baada ya mke wangu...
Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.. Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India. Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa. Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado...
Dogo leo mtoto wako.
Kuna jamaa alipiga mimba mdogo wangu 16yrs ago.
Jamaa aliikataa mimba, mzee wangu hana mambo mengi afu alikua na uchumi mbovu binti aliachishwa shule na jamaa kakataa mimba.
Baada ya 16yrs jamaa karudi eti anataka mtoto; kiukweli tulichomfanya Mungu anajua.
Hudumia mtoto...
Nina mke; degree holder, mwaka wa saba huu, tunalingana umri, namzidi mwezi mmoja tu.
Msabato wangu hana shida; hana kando kando lolote mimi ndo nilishawahi kumliza miaka miatu iliyopita sababu ya mambo yangu.
Nilikutana naye almost 12yrs ago akiwa amemaliza form 6, badae kaingia Chuo kapiga...
Mkuu Soda Bar inauzwa 1000 ila mtaani 500 why hujawahi lalamika? Sambusa ni 2000 leo nimekula sehemu moja inaitwa Maembe pale Moshi.
Maji madogo 1000 badala ya 500 same to Kilimanjaro.
Wanalipa kodi na risiti unapata uzuri wake
Bei ni kubwa ndio ila mimi niko radhi kulipia sababu ya sifa zifustavyo.
1.Usafi: Pale ni pasafi sana kuliko hotel zingine.
2. Huduma: Unapata huduma ya uhakika, nikilipia bei juu is okay for me.
3.Muda: Mabasi ya Kilimanjaro yanatoa dk 30 kwa abiria kwa ajili ya kula, mabasi mengine wanatoa...
Mkuu mimi si mtumishi wa umma ila kwa kulingana na maelezo yako hata hiyo kukusamehe na kukukata 20% walitumia ubinadamu na sio sheria.
Kwanza Mwl ukifunga shule hutakiwi kuwa nje ya wilaya au mkoa wako wa kazi bila ruhusa; weww tu kwenda mkoani bila ruhusa ni kosa
Pili; Ulipoumia ulitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.