Recent content by mosafi

  1. M

    Swali kwa Wataalamu

    Dawa ni kama MTU anaumwa anapewa ili iweze kumtibu ugonjwa wake..... Na chanjo hii ni kinga dhidi ya ugonjwa fulani mtu anapatiwa kabla hajapata ugonjwa husika mfano... Polio,bcg, ant rabies( ya kichaa cha Mbwa) hizi ni chanjo... Dawa ni Kama PCM.metro..
  2. M

    Kila nikitaka tuonane anadai eti yuko bize

    Hii kitu zingatia sanaa maana inamaana.... Then jitahidi ata uwe unapendeza pendeza nini....yaani uwe smalt utavutia tu
  3. M

    Dawa hizi zitaweza kuwa na athari kwa ujauzito wake?

    Metronidazole tab( fraigil) Alu (mseto)alben za ninyoo miezi mitatu ya kwanza ni shida....
  4. M

    Mbinu ya kujitibu kichwa kilicho kushika ghafla na maradhi ya stress

    Young blood... Practice kwanza ukiona haikufai ndio uanze kusema hivyo... But its usefull Na inatibu....
  5. M

    Dawa hizi zitaweza kuwa na athari kwa ujauzito wake?

    Hakuna madhara mkuu.... Amoxy ni ant biotics Na ni Dawa baridi so haina tabu hataaaa.... Na iyo ant acid it can be magnesium nayo haina madhara so kua happy tu...
  6. M

    Hivi ni kweli mwanamke mwenye ujauzito akila asali mimba inatoka?

    Hili ni jipya kwangu tusubilie wazoefu watupe jibu
  7. M

    Jifunze kifaransa - Somo la kwanza

    Kwa kuanzia greeting inatosha Sana.... Thanks
Back
Top Bottom