Habari wana JF, kama kuna mtu amesoma masomo tajwa hapo (community economic development/community development) kwa levo ya degree pls inbox me ur number, ili tuweze kuwasiliana zaidi na uwezi nitumia vyeti vyako.
kwa mtazamo wangu mi naona kama kutoa elimu ya ngono kwa watoto hawa itachochea zaidi wao kujiingiza huko, ila ushaur wangu nikuwaombea na kuwakabidhi mikononi kwa Mungu kila iitwapo leo, pia kuwalea katika njia zile zinazompendeza Mungu hakika wakiwa na hofu ya Mungu ndani yao wataogopa kufanya...
za kwenu wana j.f, vp tpdc hawajaita tu jamani, maana matangazo ya kaz ni mengi, lakin feedback kama watu wamepata au hawajapata ni kidogo cjui ni kwanini!
pole sana ndugu, hl tatizo sio geni masikioni mwangu, kwani lilishawapata marafiki zangu kama watatu hv, nilisikia linatokana na kula chakula cha aina moja ila cjawah fanya uchunguz kuprove, we nenda hospital ukapime uone nini tatizo.
hellow wana jf, mimi ni mgen humu, nimemaliza chuo mwaka jana 2012 nimesomea digrii ya community economic development nimetuma maombi sehemu mbalimbali bila mafanikio naomben msaada wenu hata nikipata mahali pa kujitolea nitashukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.