Hi, ndugu yangu hiyo ni laana usijaribu maana binamu awe mtoto wa mjomba au wa shangazi ni kama dada yako kwani mna mahusiano ya karibu sana kwa sababu, shangazi ni dada wa babako na mjomba ni kaka wa mamako! Unaweza kufanya ukazoea mara ukammega sister ako kabisaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.