Recent content by Mookiesbad98

  1. Mookiesbad98

    Onyo la CDF: Ilikuwaje CCM ikampitisha Ssebuyoya (mrundi)anayejaza warundi nchini kuwa mwakilishi wa vijana

    Huyu dr hata kama asilimza babu zake ni Burundi huyo ni mtanzania, amesoma hapa na amekulia Regent estate mtaa wa chato au uporoto. Alofaulu vizuri amesoma udaktari Muhas. Ni mtu mfanyaji kazi kwelikweli na hilo la kunyanyasa wafanyakazi hapana dr kwa tuliowahi kuwa nae karibu hawezi kukaa na...
  2. Mookiesbad98

    Rais ahusike na misiba maalum tu, bunge litunge muongozo wa Rais kuhusika na misiba

    Tatizo la ajira zakujuana ndio linaonekana sasa, kuna shida kwenye kitengo cha mwasialino kwa umma. Hakuna video director aliyesoma vizuri, editing na proof reading hakuna. Kuna mtu anakula mshahara bila kutimiza wajibu wake . Ukiwaona kwenye misafara na masuti yao utawaona wa maana sana.
  3. Mookiesbad98

    Kwa hili la Serikali kushindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita cha NHIF, Waziri Ummy asaidiwe kuondoka wizarani

    Hivi mbona nchi hii hakuna waziri, mchumi, consultant wala mbunge ambaye akihojiwa anaongelea scale ya mshahara kwamba uko irerelevant and very informal. Hakuna scale inayoelewela ya mishahara ya watu kuanzia watu wasio na elimu mpaka wenye elimu. Its about time waziri ummy akae ale pesa yake au...
  4. Mookiesbad98

    Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

    Kiukweli katika waziri ambaye ataiweza hii wizara ni Jerry Silaa. Sababu kibwa anafuata sheria na amesoma sheria. Nimeona mfano wa sheli pale mikocheni kwa Rupia, Sayore na Mama Tibaijuka pale kuna suala la rushwa mpaka kibali kikatoka kisheria cha kujenga sheli. Jerry ilikuwa ni kuionesha...
  5. Mookiesbad98

    Bachelor of Science in Information Technology chuo cha CBE

    Cbe sio chuo kizuri kina changamoto nyingi sana ya uzembe wa watendaji hapo. Watoto wanarudia miaka sababu tu records zimepotea ofisini kwa walimu. Usiende kabisa
  6. Mookiesbad98

    Kichekesho juu ya kinachoitwa SGR nchini tumepigwa zaidi ya bilioni 500

    Kimsboy kuna mambo umeongea yanasononesha sana watu wenye macho. Kila kitu kwetu kinafanyika chini ya kiwango na mawaziri wapo. Mfano mdogo ni BRT. Angalia BRT ya kigali na ya hapa ya kwetu ni uchafu mtupu tunalingana sana na nigeria kwenye implementation ya miradi sababu ya rushwa, ubinafsi na...
  7. Mookiesbad98

    TUMEPIGWA? Hili ni treni la SGR nchini Kenya miaka sita iliyopita. Gari linaifukuzana nayo kwa speed ya 120 Km/Hour

    Kila mwenye akili anajua hiyo treni haijafikia viwango vya duniani kama fast train. Ingesaidia sana badala ya kulazimisha kujenga ma BRt hata hapa mjini dsm na miji mingine mikubwa. Hiyo ni tazara iliyopakwa rangi
  8. Mookiesbad98

    Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

    Why is it ni kama hakuna kiongozi anayeona haya matatizo na kuyaongelea na kutoa a waya forward ni kama wote wamelala kazi kupiga mapicha millard ayo na masuti yao kila siku ni hafla ya kuapisha huyu, kupokea hichi, kutia saini hichi, Nani katuloga watu weusi. Umeme wa shida kwanini mkurugenzi...
  9. Mookiesbad98

    Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

    Ni kweli huyu mwamba toka Bi mkubwa achukue utawala nimeona watu wengi wakijipendekeza kwake kuanzia wasanii, wabunge, mawaziri, na watumishi wengine kuna siku magoti anamsifia huyu jamaa halafu kampost. Biblia inasema ukitaka kuelti meza kuu ya bwana ni lazima upitie kwake kristo so he is Monte...
  10. Mookiesbad98

    Usumbufu wa masomo ya jioni CBE Campus ya dar es salaam

    Hakuna chuo pale karibu na.makaburi ya zanaki.
  11. Mookiesbad98

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Kuna kitabu mwanangu anatafuta kimeandikwa na lecturer wa usatawi wa jamii anaitwa mwakajinga lucas kinaitwa developement studies for colleges and universities. Soft copy pls
  12. Mookiesbad98

    Tangu Makonda aanze propaganda ametatua kero gani ya mwananchi?

    Makonda anaigiza ila watanzania wanapenda anavyoigiza ila hakuna anachotatua
  13. Mookiesbad98

    UTEUZI: Abdul-Razaq Badru Mkurugenzi Mkuu mpya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)

    Toka teuzi zimeanza kutangazwa kupanda kwa maisha umepungua, umeme umepatikana, maji yanatoka masafi na ya uhakika hakuna. Wacha wateuane wale kwa urefu wa kamaba zao
  14. Mookiesbad98

    Kama tukiendelea kuamini kwamba huu mgawo wa umeme ni halali basi tutakuwa ni wajinga sana

    Mgao wa.mchongo huu Tanesco ili libinafsishwe na kusiwe na.kelele kama za DP world inabidi lionekane limeshindwa kazi halafu wahuni wanaunda.offshore company dubai inakuja kuwekeza bila.mtaji
  15. Mookiesbad98

    Kwanini viongozi wakatili upenda sana kuhubiri kulogwa, kuuawa, kudhurika na kumtaja sana Mungu?

    Guilty conscience. Makonda ana shangaa watu kutekwa wakati alimteka Moo dewji.
Back
Top Bottom