Huyu bonge anatukumbusha Humprey Polepole alimsema sana kuhusu protocal yake ya kujitanua nyumba nyeupe na picha likapiga liakazirusha kwenye mitandao yake ya kijamii.
Naunga mkono hoja lakini in the world of spirit anayemuweka lissu ngome unaweza ukashangaa na.yeye siku.moja akawekwa ngome. They.say.what goes around comes around.
Magufuli ndio muasisi wa task force za wasiojulikana. Ana mazuri lakini kwa hilo legacy hiyo.atabaki.nayo milele.
Inawezekana haya wanayoyafanya gizani miaka ya.baadae yakawakuta.na wao.
Hakuna mtu.alijua.senior legal council and Dr of philosophy Tenga atakaa rumande mida.mrefu. Kitilya...
Kwa bahati mbaya sana kesi ya lissu ina very.negative effects in the long run.
Sidhani kama investors wa maana hawatatambua kwamba mahakama zetu ni kama proxy tuu zikifuata maelekezo ya wakubwa.
Wenzetu wote wanatuona na kushangaa sana hali ya haki jinai inavyolwenda. Wenye mamlaka shtukeni...
Hawa kufira watoto na wake zao ni sunna. Lord have.mercy on us. Maudtaadh wa mdrasa wengi wana kesi ya kufira watoto kumbe wanafuata mila za ki persian
Kwanza tuanzie.kwenye wasifu wake au.CV.
Ukiona kiongozi anapiga kelele nyingi ili asikike ujue.hakuna kitu kichwani. Ila CCM imapenda kuteua watu.wasio na akili nyingi
G.J Malisa ameandika hivi karibuni ni kwanini tunaendelea kujenga barabara lanes chache yaani hiii ya bagamoyo ipigwe lanes 6. Na zingine foleni itapungua.
Sasa njia ya tegeta kijenga lane moja moja ni upotevu wa pesa haitotatua foleni ya bunju asubuhi na.jioni
Sina shaka litakuwa limeandaliwa na Phd Charles Kitima mwalimu mbobezi wa sheria.
Ni mwendo wa parable tuu biblia kuilewa inabidi kwanza usome agano jipya then umalizie agano la.kale
Nchimbi anapoza upepo halafu pia ana kutumia rational thinking.
Mbele ya hadhira kama ile ya makrdinali huwezi kuongea vijembe vya kibarazani. Unazidi kujimaliza na yeye ana hesabu za mbali kidogo japo ni.mnafiki
Huwa najiuliza swali hili hili. Unakuta hata Egypt jengo analojenga mchina cairo ni zuri kuliko la.mchina oysterbay.
We dwell on substandards. Iko kwenye DNA yetu haiepukiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.