Kwa ambae ampta elimu inayostahili na elimu hiyo.ikamkomboa huwez jilinganisha nae hta ukisafiri nje ya sayari kaka....lbda uzungumzie hao wanaofika chuo na kuwa watumwa wa elimu...
but for a man hu have realy invest in his mind nd he z acting on wat he hv invest utangooja sana kua kama...
Mwalimu ni priority coz baadae ile hela ya mkopo lazima akatwe kwenye mshahara coz hana pa kukimbilia weng wanaajiriwa tena serekalini.
Sasa mtu wa Law kwa mfano wakimpa mkopo watampatia wap kurudisha coz anweza anzisha kampuni yake su hta akwa mwanasheria wa kujitegema so serekali ni ngumu...
wat du you mean....jmn hbu acheni kulaumu watu hakuna anyependa hya yanayotokea yatokee....sasa ukimlaumu mtu asisome course flani eti kisa non priority hzo za priority watanzania wote tungeweza kusoma jmn....na nshangaa sana hii nchi eti non priority ni masomo ya art tu....ndo maana ufisadi...
So untaka kuambia uma wa tanzania kua masomo ya art hayafai kusoma?? Kuacha masomo ya sayansi ukiwa form three si vzur lakini si kwa sababu ulizozitoa hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.