endelea kubwabwaja maneno bila kusoma tatizo watoto wa UDSM kulia lia kwingi shule hakuna. muwaulize wezenu waliokuja kwenye soko la ajira za makampuni ya mafuta kama schlumberger, hullibuton, beker hughers na BG Group tulivowagaragaza vijana kutoka UDOM petroleum engineering hatuna utani na...
kwa yeyote anayeweza kunipatia taarifa za kiwanja moshi mjini uelekeo wa kawawa kutokea moshi mjini kisiwe mbali na barabara kuu ya moshi dar na kiwe 5 - 20 km kutoka mjini moshi na 50 m kutoka barabara kuu ukitoa zile 30m za serekali. email marcus_obed@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.