wew muongo wala hauna shida ya mke, bt wataka kufanya jokingi tu gapa, kwani kama ungekuwa na uhitaji wa mke hebu angali katika post zako, je! hakuna coment ambayo mimi nimekoment na kukuambia kuwa uje in box? je! ulikuja? au huyo mke unayemtaka wewe ni mke wa aina gani? JINI AU? ACHA KUZINGUA WATU