Recent content by Mongororo

  1. M

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Kwakupita tuu niwambie uyudenisi anajiabu kwa kumpa sifa mamatibajuka napenda kumuuliza.buligi,kayonza,lwiala, ichwandimi,rwazi,kasenyi,bumbile, kyota,kyamukwikwi,mjunwa ,ilemela,kabaguna,na katungulu,uko anapajua namatatizo walionayo anayajua? Wao wanajua jina tibajuka nazile picha alizogawa...
  2. M

    CCM Yakalia kuti kavu Ukonga

    Kiongozi yeyote alie choka kifikra nakuishiwa point ukimuelezea ukweli ua anang'aka kwa hasila nakufoka badala ya kujibu alivo ulizwa.nyinyi amuwaoni makupe ccm wanavo ambiwa ukweli na kung'aka kama mbwa alie pigwa kwao najiwe kwakujikaza anabweka kwa asila ili asaidiwe ndo ccm wanaongea kwa...
  3. M

    Maandamano ya CHADEMA Ilemela yaiva

    Safi sana mpaka kieleweke hatuwezi kwenda kwenda tuu kama mbuzi nchi hii ina shelia na talatibu na miko sasa hawa wanaotaka kufunika ili mwana halamu apite hatuwezi kuwavumilia.
Back
Top Bottom