Mzima kweli wewe au ni bwakila ....hawa wavuta bangi ndo uwaite ma genious !! Google kwanza ili ujue genious ni mtu wa aina gani
Voice Lessons in Singing
Pamoja na yote unapokuja kwenye hometheatre Sony ni bora kuliko Samsung,kwa maoni yangu pamoja na kuwa Samsung inaweza kuwa na vikoombwezo vingi usikivu wa muziki mzuri upo kwenye hometheatre za Sony,na kwa 1000 Watts kwa matumizi ya nyumbani itakuwa ni balaa,kwa Sony hometheatres hata ikiwa...
1. Nikupe nini by GK.
2. Machozi, Jasho na Damu by Pro. J
3. a.k.a Mimi by Ngwea.
4. Mkuki Moyoni by Afande Selle.
5. Nitakufaje by GK.
6. Binti by Jide.
7. Mwanafalsafani by FA.
8. Elimu dunia by Daz Baba.
9. Albam ya kwanza ya Dully (Jina limenitoka)
10. Ulimwengu ndio mama by J-Mo...
Mziki mbali na ujumbe unahitaji radha na ndo maana wavuta bangi kama ney wanaimba pumba lakin kwenye club na vilabuni ukosi kitu nakula ujana. Si hao tu wako wengi fani imewatupa ila hajajishtukia. Here's a video to help you sing better:How To Perfect Your Singing Voice
Kama una ile album yake yote iweke apa au nyimbo zake nyingine mana nlckia zipatikana free kweny mitandao ila nikisearch sizipati namkubali sana uyu jamaa japo hapati airtym ya kutosha
Here's a video to help you sing better: How To Start A Singing Career
mbona unanchora ni mda tuu imetoka.. Kwa MIMI ukiniuliza msanii mkaree wa RnB jibu ni RAMA DEE TU!
Here's a video to help you sing better: Vocal Exercises for Singers
Kila kitu ni ushindani. Ni fursa kwa wasanii kupata pesa kubwa kwasababu fiesta italazimika kupambana na kili tour kwenye malipo la sivyo atakimbiwa na wasanii wote wazuri
Here's a video to help you sing better: Music Classes Online
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.