Unafikiri wanafurahi kuwa single maza....wanatamani kuolewa tena kwa kuibiwa bila posa wala mahali.....
Wao wenyewe wanafahamu kuwasingle mother ni kushuka heshima halafu unawataka wajiexpose ili iwejeee!!!!!!!!🤣
Hakuna sayansi ila ni dhana tu broo...hapo kinachotokea ni function of centra nervous system....which draw away a victim's body unconsciously from danger.....sasa hapo kwasababu hatujasoma mifumo ya fahamu ya mwili inayorespond the external stimulii.......tunasema tu hivi Nimerushwa na umeme...
Hii ni Kwa ajili ya kunasua mtu kashikwa na umeme wenye voltage kubwa(UMEME KAUSHA MAJI) wa kwenye nguzo za umeme.....ila umeme wa nyumbani unashika na kukuachia kwa msukumo wa low voltage(UMEME USIMSHIKE UKIMSHIKA TUPA KULEEEE)
Wewe acha tu! Nilirushwa na umeme nikatua kule na kubiringita mara 3.....i actually experienced a push from electric shock.....
Umeme unarusha sio dhana....haijakukuta tu usingeweka uwo uzi.
Wanaume wengi mitaa kwangu wamerudi nyuma kimaisha kwasababu ya kushirikisha wachumba au wake zao kwenye maswala ya biashara zao......WANAWAKE NI WABINAFSI(sio wote).....hawakujali maisha ya mwanaume kuwa yatarudi nyuma......WANAWAKE MA MATAPELI(sio wote)wanajua kuigiza upendo wakiona una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.