Kule Mwasonga nlienda nkaanzia serikal za mitaa.. Bcoz Mi mgeni. But yule menyekiti nae Bure kabisa.. Kaniunganisha na dalali mzembe hata hajui iko kilimo.. Akaishia kuniambia hakuna mashamba..
Nataka kufanya hiki kilimo but nimepata changamoto ya kuipata eneo. Mi naish DSM nlienda kule Kimbiji Kijaka.. But nlishauriwa hakuna rutuba na kilimo ni challenge kidogo. Nikashauriwa niende Mwasonga. Near by dar zoo Uko Uko Kigamboni. But wenyeji wa kule hawakunipa ushirikiano wa kutosha...
Katika hospitali kuna matibabu ya upungufu wa nguvu za kiume? Achilia mbali Hawa wa tiba mbadala na wale wanaoshauri mazoezi na lishe.
Nauliza hii field ktk hospital zetu ipo na inatibu wenye tatizo hilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.