Unajua bwana uwaziri mkuu ni nafasi nyeti sana,performance yako inaonekana moja kwa moja,hebu fikiria pinda kabla ya uwaziri mkuu,wangapi walimfahamu? Angekuja kutoka huko alikokuwa na kugombea urais angepata kirahisi kwani ana maneno ya uraghai na unafiki. Tungempa bila kujua.Uwaziri mkuu...
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia mienendo,falsafa na hata uzalendo wa mh.Zitto,nashawishika kuamini kuwa Tanzania tumepata nyerere mwingine.
Tuna imani name wewe zitto na ninawaomba watanzania wakuunge mkono kupitia Cdm ili utufikishe kwenye Tanzania tuitakayo. Nikuhakikishie kuwa bado una...
Habari za uhakika ni kwamba,DC wa kasulu mh.Dan Makanga anatarjia kuingia kwa mara nyingine kwenye kinyang'anyiro cha ubunge kwenye jimbo la John Cheyo- Bariadi mashariki kwa tiketi ya Ccm.
Jambo la kujiuliza,ana mini jipya huyu Mzee kama wilaya tu ya kasulu imemshinda? Au amechuma vya...
Wewe unatumika vibaya sana bwanaAboubakar,Siasa ni mchezo mchafu sana,utatumika tu kama kondom na kutupwa chooni. Sikulaumu,njaa mbaya sana. Kijana kama wewe kushabikia upuuzi na kuungana na wajinga kupotosha umma,unatia huruma. Siasa za siku hizi zimekuwa za akiri sana, si rahisi mtu mwenye...
Watu wengi wamemfahamu Dr. Slaa kwenye uchaguzi 2010.Akatoa changamoto iliyokuja name msamiati "Chakachua matokeo".Sasa huoni kuna haja ya kusubiri uchaguzi 2015 ili tupime ameporomoka au la? Mrema tulimpima kwa chaguzi zilizofuata, lipumba halikadharika, iweje slaa tuanze kuaminishwa kabla ya...
Watu wengi hasa wafuasi wa ccm wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha kuwa Dr Slaa ameporomoka kisiasa, wanalinganisha sasa na
lini? Maana Dr.Slaa aling'ara wakati wa uchaguzi,na sasa uchaguzi bado,unalinganisha
sasa na lini? Je ni kweli ameporomoka au ni uoga wa ccm juu ya Dr. na hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.