Samia ni maji usipokunywa utaoga. Wanaompenda na wasiompenda wote wanafuatilia kampeni kwa umakini mkubwa.
Samia mitano tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Halafu kuna mjinga flani yupo anadai ametumwa na wananchi kubwabwaja mtandaoni!!!
Wajameni tafuteni kazi za kufanya sisi tupo sana na mama Samia. Sema nini Mange na Slowslow wote wapo kwenye payroll kimpango wao. Uchaguzi ukipita wataendelea na isssue nyingine
Hamjamjua bwana Polepole, kinachomfanya aongee yote hayo sio uzalendo bali ni kukosa alichokitaka kwenye CCM. Roho yake imejaa visasi na chuki kwa wote waliopo madarakani, hana ajenda kubwa ya kuwasaidia wananchi anachojali ni kupambana na anaowaita wahuni.
Katika mazungumzo yake ni kama CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.