Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja...
Habari za mchama huu wana jamvi......
Naomba msaada juu ya simu ya Itel 1351, nimeiblok kwa kukosea kuingiza paten mara nyingi kimakosa, Hivyo naomba mwenye kujua jinsi ya kufanya Hard reset anisaidie, Asanteni
Nimatumaini yangu kuwa muwazima wa Afya njema
Husika na kichwa cha habari hapojuu, mimi ni mtumiaji wa simu ya HUAWEI Y530,Androi v4.3 ambayo tayari nimesha ROOT, hivyo naombeni msaada wa jinsi yakuifanya ili iwe Android v5.
Asantanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.