Recent content by Moi aussi

  1. M

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Wapenda chips kuku wanapata ofa kwa siku moja then wanawajibika maisha yao yote kulea kwa maumivu. Nan alikwambia kuna bure dunian
  2. M

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Msikitikie mwanao baada ya miaka mitano si rizk tna, maana virutubisho vitakuwa vimeshafanya kaz yake
  3. M

    Nahitaji Msaada wa kisheria

    Kuna jambo linaniumiza Kichwa sana. Baba yangu alikufa 2014, babu yangu(baba wa baba yangu) akafa 2021. Inasadikika muuaji ni mwanafamilia mshirikina; lkn hapa nataka kuleta hoja nisaidike. Babu aliacha mali nyingi, mshukiwa amejichukulia mamlaka ya kujigawia mali za babu na kumpa yeyote...
Back
Top Bottom