Kuna jambo linaniumiza Kichwa sana.
Baba yangu alikufa 2014, babu yangu(baba wa baba yangu) akafa 2021.
Inasadikika muuaji ni mwanafamilia mshirikina; lkn hapa nataka kuleta hoja nisaidike.
Babu aliacha mali nyingi, mshukiwa amejichukulia mamlaka ya kujigawia mali za babu na kumpa yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.