Recent content by mohoziz joseph

  1. mohoziz joseph

    ARUSHA: Kamati ndogo ya Baraza la Madiwani yagundua ufisadi mkubwa

    Ufisadi ni mkubwa sana uliogunduliwa alafu nashangaa wavimba macho wanaongea upupu
  2. mohoziz joseph

    Dr. Kipilimba atakuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa au Usalama wa Magufuli kisiasa?

    Anaandika Comrade Ben-Rabiu Wa Saanane. Nilifunzwa kusema ukweli,nikafunzwa kutilia shaka kila kitu.Doubting Everything. Leo Rais Magufuli amemteua Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Usalama wa Taifa(TISS) Dr.Modestus Kipilimba. Kabla hajaapishwa baadae leo nafukua Makaburi mawili. Haya tuanze, Mwaka...
  3. mohoziz joseph

    Taarifa kwa umma: Matumizi mabaya ya madaraka ya Mrisho Gambo, Arusha

    YAH: MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YALIYOFANYWA NA MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NDUGU MRISHO GAMBO NA HALMASHAURI KUOMBA UFAFANUZI WA MAMALAKA YA JUU DHIDI YA SHUGHULI ZA HALMASHAURI: Taarifa hii ni kuelezea Matendo batili yaliyofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha ndugu Mrisho Gambo katika...
  4. mohoziz joseph

    Meya wa CHADEMA Arusha kugawa mamilioni kwa vikundi 96 vya ujasiriamali leo

    Halmashauri ya Jiji la Arusha ambayo inayoongozwa chama Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) leo itagawa zaidi ya milioni 400 kwa vikundi 96 vya ujasiriamali kutoka katika kata 25 ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi Zoezi hili ni la awamu ya kwanza, na linafanyika kwa mara ya kwanza katika historia...
  5. mohoziz joseph

    Somo kwa uvccm

    TAARIFA KWA UMMA NA ELIMU KWA UVCCM. Bavicha Mkoa wa Arusha unatoa taarifa kwa umma wa watanzania na Elimu bora ya bure kwa Uvccm 1. Arusha ndio eneo pekee lenye Azimio lenye Tumaini kwa Watanzania, Azimio la Arusha. Ukombozi wa wauchumi wa watanzania ulinzia hapa, hivyo basi Bavicha Mkoa wa...
  6. mohoziz joseph

    Operesheni UKUTA sasa kuwakutanisha CHADEMA, CCM, AG na Msajili

    Sakata la Oparesheni UKUTA Lailazimu Tume ya Haki na Utawala Bora Kuandaa kikao cha pamoja kati ya CHADEMA, CCM na Jeshi la Polisi Tume ya Haki na Utawala Bora imeandaa kikao cha pamoja kati ya CHADEMA, CCM, Jeshi la Polisi na taasisi nyingine tatu, wakati joto la Operesheni UKUTA likizidi...
  7. mohoziz joseph

    Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe

    Mimi mama yangu alikuwa na hofu na Matukio ya Arusha wakati huo.. Hakuwahi niambia usiende, zaidi ananiambia kuwa mwangalifu!! Paul Njuguna hakuwa kwenye shughuli za Chadema lakini alipigwa risasi akafa! Mohamed Mtoi hakuwa kwenye maandamano lakini mauti ilimkuta Judith alikuwa kwenye...
  8. mohoziz joseph

    Ben saanane: UKUTA uanze kujengwa kwako na Patna wako

    Ni ndefu kidogo:Kwa Wapambanaji Wote.UKUTA uanze kujengwa kwako na Patna wako kama Mandela,Odinga,Bhutto,Martin Luther ,Obama,Bill Gates ,Clintons n.k. Usipompata au usipomuelewesha "My Dream,Our Dream au Your Dream,Our Dream"-Kazi Ipo. Ukikoswa kuhongwa cheo,fedha kuna hatihati ukapatikana...
  9. mohoziz joseph

    Tundu Lissu hajulikani alipo, Dar hajafika, Jana walilala Dodoma

    Haya hapa napo wataingia wazimawazima Siku zote Mwerevu atawapeleka Majuha Kushoto-Kulia-Katikati(Left-Right-Centre) Sasa wakati Tundu Lissu akisubiriwa kuingia Dar Muda Wowote baada ya Kuondolewa Dodoma alfajiri ili asisindikizwe Dar na Viongozi na Wafuasi wa Demokrasia,Leo Edward Lowassa...
  10. mohoziz joseph

    Rai yangu kwa kada wa CCM

    RAI YANGU KWA KADA WA CCM NA MKUU WA WILAYA YA ARUSHA MJINI Mh Mrisho Gambo Ndugu yangu, Kiongozi hodari Mrisho, naandika haya kwa nia njema kabisa kusaidia maendeleo ya Jiji la Arusha na watu wake. Kabla sijaenda kwenye rai yenyewe naomba tujipitishe kwenye vipengele kadhaa vya Katiba ya...
  11. mohoziz joseph

    Huyu gambo anaboa

    *Ukweli ni kwamba Gambo anaboa, he's too much. Unazuiaje ziara ya kamati ya mipango miji eti kuna waraka unaozuia? Hujui maudhui ya ziara, tumeooteza open spaces 2 Njiro tunataka kwenda kukagua anazuia, je zitarudije? Nani aende? Anazunguka kwenye kata na mitaa na kata alone bila madiwani wala...
  12. mohoziz joseph

    ACT - Wazalendo: Mkutano mkubwa Morogoro (ngome ya CCM) - Aprili 13, 2015

    Et wamevunja ngome ya ccm wakat wanaoijenga ni wao !
Back
Top Bottom