Jamani naombeni ushauri nina biashara ya juisi nataka kununua fridge, nishaurini fridge gani linaweza kua zuri na lisilokula umeme sana la dukani au mtumba, ya mtumba bei yake ni affordable naombeni ushauri
Na mie yamenikuta wadau nimepatwa na shida nlipata choo kigumu baada ya hapo nkienda choon napata maumivu makali sana japo nimeanza diet ya mboga mboga na matunda na maji mengi lakn naona bado hali n tete imefkia had choon napaogopa maan ukifka hapatoshi n maumivu makal wakat wa kunya na...
Tafadhal ndugu msaada wako najaza taarifa zangu za kwenye vyet vya sekondari kila kitu kipo sahihi lakn inaniletea maandish NECTA CANDIDATES PARTICULARS DOES NOT MATCH naomben msaada wenu nimetingwa sana na bado sku 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.