Habari
Mimi ni mdau wa JamiiForums, nina hoja kuhusu suala la elimu
Kwa wanafunzi wanaosoma shule za serikali Tanzania kwanini wizara ya elimu inawaruhusu wanafunzi vipindi vya masomo wanaenda kuwachukua wanafunzi madarasani kuacha kusoma na kuwapeleka au kuwaruhusu kwenda kusherehekea kama...
Nataka kufahamu uhalisia wa hii video ambayo inasemekana hii ni athari inayotokana na vita ya Israel na Iran na hapa inaonesha ni Israel baada ya kushambuliw na Iran ni kwel uhalisia hii video au potoshi?
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.